Rizone Kikwete: Suala la elimu ya Mnyika

Rizone Kikwete: Suala la elimu ya Mnyika

Status
Not open for further replies.
Aliyesomeshwa na CCM na kutumia nguvu kubwa ya ubalozi wa Tanzania India kupata Admission Acharya university-Bangalore,India ana Termerity ya kuhoji elimu ya Mnyika?


Na huyu mwingine aliyedandia akiambiwa alete Tasnifu(thesis) yake ya shada ya uzamili kwenye sheria LLM kule hulls university ataleta? Mnyika hajawahi kuwa na taaluma Fake kama huko CCM ambako mtu yeyote anaweza kujiita professa (mganga wa kienyeji na mfuga majini) au Doctor kisha baadae anarudi kusoma shule kuusomea udaktari ambao ameshajipa title.TCU imeshathibitisha makada wengi wa CCM wenye shahada fake

-Hebu turudi katika hoja za msingi na sio story za kutunga za vijiweni.Katibu wa itikadi na uenezi anaongea trivial issues?

Vipi mkutano wa kufungua kanda unaendeleaje?, achana na Nepi.
 
Aliyesomeshwa na CCM na kutumia nguvu kubwa ya ubalozi wa Tanzania India kupata Admission Acharya university-Bangalore,India ana Termerity ya kuhoji elimu ya Mnyika?


Na huyu mwingine aliyedandia akiambiwa alete Tasnifu(thesis) yake ya shada ya uzamili kwenye sheria LLM kule hulls university ataleta? Mnyika hajawahi kuwa na taaluma Fake kama huko CCM ambako mtu yeyote anaweza kujiita professa (mganga wa kienyeji na mfuga majini) au Doctor kisha baadae anarudi kusoma shule kuusomea udaktari ambao ameshajipa title.TCU imeshathibitisha makada wengi wa CCM wenye shahada fake

-Hebu turudi katika hoja za msingi na sio story za kutunga za vijiweni.Katibu wa itikadi na uenezi anaongea trivial issues?

wewe acha kuzunguka point,Mnyika amesoma au hajasoma shule,na kama amesoma ameishia darasa la ngapi?fullstop.
 
Aliyesomeshwa na CCM na kutumia nguvu kubwa ya ubalozi wa Tanzania India kupata Admission Acharya university-Bangalore,India ana Termerity ya kuhoji elimu ya Mnyika?


Na huyu mwingine aliyedandia akiambiwa alete Tasnifu(thesis) yake ya shada ya uzamili kwenye sheria LLM kule hulls university ataleta? Mnyika hajawahi kuwa na taaluma Fake kama huko CCM ambako mtu yeyote anaweza kujiita professa (mganga wa kienyeji na mfuga majini) au Doctor kisha baadae anarudi kusoma shule kuusomea udaktari ambao ameshajipa title.TCU imeshathibitisha makada wengi wa CCM wenye shahada fake

-Hebu turudi katika hoja za msingi na sio story za kutunga za vijiweni.Katibu wa itikadi na uenezi anaongea trivial issues?

weka basi CV na elimu ya mnyika hapa acha porojo.
 
Uaminifu kwa jamii maana hata kwenye website ya bunge hapajaandikwa kitu kinachohusu elimu yake.

Kwani elimu ni siri?

Kwani MP anatakiwa kuwa na elimu gani?
 

Jibu lake....

Mr. Kikwete is therefore equipped with sufficient administrative as well as technical skills required for running a successful law practice.

hahaha, tunajua riz1 alipata muhuri kwa jina baba yake,
tunajua iyo experience yake ya IMMA ni wizi mtupu kwani hakuna asiyejua kuwa IMMA ni pango lililomtumia Riz1 kupata deal nyingi za serikali na matokeo yake kutoka hapo IMMA kikwete akampa Jaji ramadhani zawadi ya ujaji na akampa masha zawadi ya uwaziri.
 
Like a father,like A son!! Ivi baba yake ana Elimu gani?na kama Elimu yake iko High mbona Utawala wa baba yake unatupeleka kwenye BLACK Book!
 
Kwangu mimi uadililifu ndio sifa ya kwanza anayopaswa kuwa nayo kiongozi yeyote ninayemuhitaji. Tujifanye wajinga kuwa hana elimu, lakini anazo sifa zingine zote anazostahili kuwa nazo kiongozi.

Maoni yangu:

Acheni kujadili watu jadilini hoja (matatizo ya watanzania mliyowasababishia kwa miaka hamsini na moja (51)). Kujadili watu ni ishara ya kushindwa hoja.

'Great people talk about great Ideas, small people talk about others'
 
hahaha, tunajua riz1 alipata muhuri kwa jina baba yake,
tunajua iyo experience yake ya IMMA ni wizi mtupu kwani hakuna asiyejua kuwa IMMA ni pango lililomtumia Riz1 kupata deal nyingi za serikali na matokeo yake kutoka hapo IMMA kikwete akampa Jaji ramadhani zawadi ya ujaji na akampa masha zawadi ya uwaziri.

Uzoefu wake kwenye law firm ni administarive tu(kulipa LUKU,MISHAHARA,TRA etc)......kamwe hakanyagi mahakamani
 
Huyu naye vipi? CDM inakuhusu nini Riz one we huoni ccm inavyoleta matatizo kwa wananchi nchini? ebu basi jitokeze na list ya wabunge wenu waliomaliza darasa la saba na bungeni wameenda kutalii, na hao mnaosema wasomi, wanasinzia bungeni hakuna wanalolifanya kwa manufaa ya wananchi wao. Kazi majungu na umbea tu

"et baba Riz aliitoa nchi rehani China"?
 
mh, naona mambo mengi sasa! Lakini kama sikosei sikuwahi kusikia wala kuona political comments za watoto wa Mzee Mkapa na hasa hizi zilizo direct on personal attack.
 
Riz1 Kikwete kapost hvi facebook kuhusu Mnyika..

Hivi juzi bwana Nape Nnauye alijitokeza hadharani akisema juu ya uhakika alionao kuhusiana na elimu ya bwana Mnyika (mb) kuwa ameishia form Six. nikaguna kidogo hasa nikiangalia mambo mengi sana.

Mie nimepata nafasi ya kukaa na Mnyika pale chuoni na nikaona hata uhodari wake katika kuchochea migogoro. ninamkumbuka katika sakata la Mikopo ya wanafunzi na jinsi alivyoshauri wanafunzi waandamane waende IKULU kwa miguu.sasa swali au maswali ambayo sina jibu nayo ni kama haya

1. Nini kilitokea mNYIKA (MB) baada ya sisi kuondoka CHUONI? maana kumbukumbu zinaonyesha nilikuacha ukiendelea na masomo.

2. lini ulimaliza chuo pale mlimani?

3. unakumbuka habari ya Bw.Kihiyo wa jimbo la Temeke na ushuhuda wa ELIMU ambayo hakuwa nayo.

JITOKEZE HADHARANI TANABAISHA JUU YA UFAHAMU WAKO . MAANA WENGINE WAMEANZA SEMA ..................... NDIYO MAAANA KUMBE.!!!!!

My take.
HUYU JAMAA KUMBE NI MBUMBUMBU KAMA MDINGI WAKE,JE MNYIKA AKITAJA ELIMU YAKE NINI KITABADILIKA TZ..

Sisi hatujali elimu ya mtu, tunachotaka maji safi, hospital bora, barabara bora, mishahara juu, Nchi isiyo na rushwa, utawala bora na mgawanyo sawa wa rasilimali za Nchi.
Ikiwa Mnyika hana elimu lakini anatupigania ktk hayo ni bora ya yeye kuliko mwenye digree ya sheria anayewauzia Watanzania utaaira.
Anayejitayarisha kwa fedha chafu.
Mkuu nimekumbuka huyu riz1 alisema atamfungulia mashtaka Dr Slaa kwa kumsingizia. Hivi kuna mtu anajua kesi hiyo ipo kwa jaji gani?
 
Kaka sikiliza simulizi za alfa ulellah.......

Mr. Kikwete is a young and dynamic legal practitioner with 5 years experience in legal practice having worked with reputable law firms in and outside Tanzania.Before joining GRK Advocates as a partner Mr. Kikwete worked with IMMA Advocates holding different challenging positions from January 2005 to December 2010.


During the same period Mr. Kikwete was attached to DLA Piper in London, one of ten largest law firms in the world where he was exposed to high level legal practice in the area of project financing. Both at IMMA Advocates and DLA Piper Mr. Kikwete was involved in various areas of modern day legal practice ranging from legal drafting to major aspects of project financing including due diligence inquiries, loan negotiations, consortium building and mortgage financing. His five years period of his legal practice saw him moving within the ranks of the law firms from legal officer to a partner level. Mr. Kikwete is therefore equipped with sufficient administrative as well as technical skills required for running a successful law practice.


Mr. Kikwete was admitted to the bar of advocates in 2009. He is also handling commercial and corporate litigation matters at all levels of court system and quasi- judicial tribunals. At GRK Advocates Mr. Kikwete is a partner in charge of Administration and Business Development.


He is a member of Tanganyika and East Africa Law Societies. Apart from the law degree Mr. Kikwete holds Postgraduate Certificate in Business Development from the Hull University (UK)

Safari_ni_Safari nionavyo kama haya yangelikuwa ni kweli kwanini basi yumo kwenye vikao vya ccm kule si anapotezea utaalamu wake? Kama kweli ana hata huo utaalamu?
 
hivi kuna mtu anafahamu kesi hata moja iliyosimamiwa na riz1 kama mwanasheria??

Huyo nilikuwa naye UDSM,Kiingereza ni tatizo wakati huo na nina uhakika hata sasa kiingereza kinamtatiza, labda baada ya katiba mpya tukilazimisha kesi zote ziendeshwe kwa kiswahili na majaji wafanye kila kitu kwa kiswahili labda atajaribu, nasisitiza labda.

 
Kuna thread nyingine hazipaswi kuwa na response zaidi ya mbili, tupunguze longolongo, jazba, na ushabiki kwa mabo simple. MH Mnyika au yeyote mwenye uhakika na elimu yake aseme then huu uzi ufungwe. Mkuu Tasker balidi katoa angalizo..SWALA LA MAUAJI ZANZIBAR linaitaji ufumbuzi wa kijamii zaidi kuliko CIA na FBI..elekezeni nguvu huko.

Kwani mnyika anaona tabu kusema elimu yake?haidhuru by the way..hata akiwa darasa la saba haitamuondolea umakini alionao, pia haita muongezea nape kitu chochote.
 
inaelekea basi mnyika alienda kutalii UDSM! shame on u RIZ au ndo unaungana na mpayukaj nape katika propaganda zisizokuwa na kichwa wala miguu, mnataka mnyika awape CV yake nyie kama nani!
 
Lizione yeye amefanya nini? na elimu yake zaidi ya kuandika ujinga kama huu mtoto wa rais badala ya kuja na mambo ya maana analeta majungu. Je elimu ya baba yake ya udactari amesoma wapi? Na elimu ni nini Nafikiri mnyika hata akiwa darasa la saba anaonekana anaakili kuliko hata DR baba Lizione
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom