Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,186
Aliyesomeshwa na CCM na kutumia nguvu kubwa ya ubalozi wa Tanzania India kupata Admission Acharya university-Bangalore,India ana Termerity ya kuhoji elimu ya Mnyika?
Na huyu mwingine aliyedandia akiambiwa alete Tasnifu(thesis) yake ya shada ya uzamili kwenye sheria LLM kule hulls university ataleta? Mnyika hajawahi kuwa na taaluma Fake kama huko CCM ambako mtu yeyote anaweza kujiita professa (mganga wa kienyeji na mfuga majini) au Doctor kisha baadae anarudi kusoma shule kuusomea udaktari ambao ameshajipa title.TCU imeshathibitisha makada wengi wa CCM wenye shahada fake
-Hebu turudi katika hoja za msingi na sio story za kutunga za vijiweni.Katibu wa itikadi na uenezi anaongea trivial issues?
Vipi mkutano wa kufungua kanda unaendeleaje?, achana na Nepi.