Rizone Kikwete: Suala la elimu ya Mnyika

Rizone Kikwete: Suala la elimu ya Mnyika

Status
Not open for further replies.
hizi ni baadhi tu ya comments chache nilizoziona..waTanzania wanajaribu kumfahanisha kwamba wameamka na wanajua nini wanafanya,muda wa viongozi kudanganya watu ilikuwa zamani.

.....n University...
32 minutes ago · Like


Yusuph Uzi
leaders are born not made rajabu mbaga,unaonesha ukada na ushabiki usiyo na msingi kaka,sasa kama ridh anapewa nchi unadhani nini kitatokea pamoja na elimu yake,rajabu u have to be critical thinker bro!hivi unajua maana ya elimu ya kutosha?siyo digrii kama ulivyokariri kama kipofu!hata mtu akijua kuwa ukimwi unaua ni elimu pia!wake up usipelekwe!
31 minutes ago · Unlike · 3

Adolf Mkono
Swali zuri sana bwana Riz.Vp kuhusu mzee na udaktari wake unaweza kuongea naye then ukatupa majibu kupitia ukurusa wako huu?
31 minutes ago · Like · 7

Rajabu
..swala la elimu ni muhimu sana kwa nchi yetu..mi naona agenda hii ni sawa tukaijadili maana naona MNYIKA ni tegemeo la watanzania walio wengi hivyo lazima tumjuwe vizuri hata mimi nilikuwa najua ana elimu ya chuo kikuu. yusuph ridhiwani bado hajafikia uwezo wa kupewa nchi na yeye tuu hata akina Zitto, January, Nape, Lissu, lema na vijana wengine wengi ila nachosema tuu ni kwamba hawa wote watakuwa viongozi wazuri kwa nchi baadae maana wanaendelea kukomaa kisiasa.
23 minutes ago · Like · 1

Benson Godfrey
Ww Patric 0ti€no ww ni mbongo kwanza ww?
13 minutes ago · Like

Adolf Mkono
Katiba ijayo iweke wazi elimu za ma-first lady siyo kwenda tu na akina mama Salma na certificate zao za ualimu wa chekechea kutoka GLOBAL COLLEGE Kariakoo.
10 minutes ago · Like

Gasper Dickson
@ rajabu ukisha jadiri MNYIKA FORM SIX AU DEGREE alafu inakuwaje?????????? this is primary level debate hatutegemei mtu aliyesoama masters anaweza anzisha mada kama hiiii.....kuna vitu vingi sana nya kufikiria at masters level.
8 minutes ago · Like

Raymond Mauki
Hivi hata wewe unaacha kuzungumzia mambo ya muhimu yanayokabili taifa letu unajadili elimu ya mtu fulani kwasabab ni upinzani? tuna mambo mangapi yanatusumbua Tanzania,suala la muungano,suala la udini,suala la gesi,elimu,maji na kadhalika..badala yake unataka waTanzania tuache hayo na kuanza kumjadili Mnyika kwanini? au kwasabab huwa anatoa hoja zinazowakosesha raha? waTanzania tumeamka
5 minutes ago · Like · 4

Leonard Mwazembe
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania.kugombea urais,ubunge,udiwani,sifa ni kujua na kuandika.Wenzetu wakenya katika katiba yao mpya imetamka ili kugombea urais ni lazima uwe na shahada pia ugavana ni katiba hata kama utahamasisha maandamano kutoka mombasa hadi kisumu kama huna digee unakosa sifa japo haki unayo.mfano kuna mama anaitwa Magret Wanjiru alitaka kugombea ugavana Nairobi ameenguliwa alikuwa na vyeti vinavyoosh amesoma kwa ngazi ya udaktari elimu ya Dini ya kikristo lakini akaenguliwa na tume ya Uchaguzi baada vyeti vyake alivyopata USA kukosa sifa Kenya.lakin hapa kwetu kwa mtu kuwa mbunge alafu unahoji elimu yake maana yake nini wakati katiba imemaliza awe na sifa ya kujua kuandika na kusoma.Bunge letu linaendeshwa kwa lugha ya Kiswahili japo kuwa miswaada inaletwa kwa lugha ya kiingereza lakini wachangia wanalazimishwa kuchangia kwa kiswahi.Pengine katiba ijayo itatamka kiwango cha elimu ili kugombea urais,ubunge na udiwani.Sijui kama itatambua majimbo pengine tukawa na magavana na senator
4 minutes ago · Like

Titus Sawe
ridhiwani umechemka
3 minutes ago · Like

Write a comment...
 
Last edited by a moderator:
yani wewe riz1 ni kilaza kama babaako MR DHAIFU, wewe na huyo kilaza mwenzio ambaye ni babaako. mnaacha kuangalia maisha ya watanzania yakoje kwa sasa kutokana na mlivyo yaharibu, kazi kuhangaika na elimu ya mnyika? kunasehem alisimama akasema kuwa elimu yangu ni hii na kumbe ni tofauti? wenzenu wanawaza watatutoa vipi katika janga hili la wewe na huyo kilaza mwenzio, wewe unawaza ujinga kama huu. kweli maji yamefika shingoni halimbaya.
 
Mtu kumwita baba yako Dhaifu inauma bana! Dogo kapata pa kupumuwa!!!
 
Riz1 Kikwete kapost hvi facebook kuhusu Mnyika..

Hivi juzi bwana Nape Nnauye alijitokeza hadharani akisema juu ya uhakika alionao kuhusiana na elimu ya bwana Mnyika (mb) kuwa ameishia form Six. nikaguna kidogo hasa nikiangalia mambo mengi sana.

Mie nimepata nafasi ya kukaa na Mnyika pale chuoni na nikaona hata uhodari wake katika kuchochea migogoro. ninamkumbuka katika sakata la Mikopo ya wanafunzi na jinsi alivyoshauri wanafunzi waandamane waende IKULU kwa miguu.sasa swali au maswali ambayo sina jibu nayo ni kama haya

1. Nini kilitokea mNYIKA (MB) baada ya sisi kuondoka CHUONI? maana kumbukumbu zinaonyesha nilikuacha ukiendelea na masomo.

2. lini ulimaliza chuo pale mlimani?

3. unakumbuka habari ya Bw.Kihiyo wa jimbo la Temeke na ushuhuda wa ELIMU ambayo hakuwa nayo.

JITOKEZE HADHARANI TANABAISHA JUU YA UFAHAMU WAKO . MAANA WENGINE WAMEANZA SEMA ..................... NDIYO MAAANA KUMBE.!!!!!

My take.
HUYU JAMAA KUMBE NI MBUMBUMBU KAMA MDINGI WAKE,JE MNYIKA AKITAJA ELIMU YAKE NINI KITABADILIKA TZ..

Hivi hukumbuki kuwa Kihiyo alijiuzuru/ alivuliwa ubunge kwa kosa la kudanganya elimu yake?
 
My God! is this a cv or something else? It is too blurred to call it a document that fits in the academia, for example there are eight expressions denoting "Mr Kikwete" in only 3 or say 4 paragraphs. Shame on you!

Shame not be on me....but him

ridhiwankikwete.jpg
 
Riz1 Kikwete kapost hvi facebook kuhusu Mnyika..

Hivi juzi bwana Nape Nnauye alijitokeza hadharani akisema juu ya uhakika alionao kuhusiana na elimu ya bwana Mnyika (mb) kuwa ameishia form Six. nikaguna kidogo hasa nikiangalia mambo mengi sana.

Mie nimepata nafasi ya kukaa na Mnyika pale chuoni na nikaona hata uhodari wake katika kuchochea migogoro. ninamkumbuka katika sakata la Mikopo ya wanafunzi na jinsi alivyoshauri wanafunzi waandamane waende IKULU kwa miguu.sasa swali au maswali ambayo sina jibu nayo ni kama haya

1. Nini kilitokea mNYIKA (MB) baada ya sisi kuondoka CHUONI? maana kumbukumbu zinaonyesha nilikuacha ukiendelea na masomo.

2. lini ulimaliza chuo pale mlimani?

3. unakumbuka habari ya Bw.Kihiyo wa jimbo la Temeke na ushuhuda wa ELIMU ambayo hakuwa nayo.

JITOKEZE HADHARANI TANABAISHA JUU YA UFAHAMU WAKO . MAANA WENGINE WAMEANZA SEMA ..................... NDIYO MAAANA KUMBE.!!!!!

My take.
HUYU JAMAA KUMBE NI MBUMBUMBU KAMA MDINGI WAKE,JE MNYIKA AKITAJA ELIMU YAKE NINI KITABADILIKA TZ..

Mbona nayeye alikuwa akinunua Mitihani ya sheria kwa kutumia nguvu ya baba yake..!!! Pia Law School ameiba mitihani kupindukia na sisi tumenyamaza.....Hana hoja huyo.
 

Jibu lake....

Mr. Kikwete is therefore equipped with sufficient administrative as well as technical skills required for running a successful law practice.

By the way, who are you ? Mpambe wa Ritz au ndo muendelezo wa kujipendekeza ili upate nafasi za uteuzi? Ritz tumesoma nae tunamfahamu kuliko unavyo fikiria, na hii siyo siri tena Ritz ni kilazest. Elewa mtoto wa nyoka ni nyoka tu na huo ndo ukweli.
 
By the way, who are you ? Mpambe wa Ritz au ndo muendelezo wa kujipendekeza ili upate nafasi za uteuzi? Ritz tumesoma nae tunamfahamu kuliko unavyo fikiria, na hii siyo siri tena Ritz ni kilazest. Elewa mtoto wa nyoka ni nyoka tu na huo ndo ukweli.

Think before you ink.......am with you against him!
 
Why presenting it in english, while his first post was in Kiswahili? My friend positions held by him in both law firms were just privileges because of his father's position. And for your information, from very reputable sources, the guy is terribly and profoundly bogus/TABURA LASA in law (at IMMMA, he never practised law, he was just like a messenger instead. where do you find his administrative and technical skills here? worse still he failed his masters in the UK, and you know what, in Europe when you fail a PhD or Masters degrees, you are given its immediate lower degree, the worst for r1, he was given a diploma, what a mercy! Education level ant nothing but INTELLECT!
 
hivi tukijiuliza kidogo, ni kwa nini Myika sasa!?
  • Wameanza na hoja ya maji lakini baadae (maana huwa hawafikiri vizuri) wakagundua kuwa serikari ndiyo inawajibika kuleta maji Ubungo
  • Sasa wanakuja na hoja ya elimu na cha kushangaza (binafsi sijui) waote wanasema Mh.nyika alikuwa udsm na alikuwa active.

Hoja ya maji Mh. Mnyika kaijibu kwa kutaka Waziri Magembe atoe accountability huru (chini ya CAG) ya value for money ya mabillion yaliyotumika kuupgrade miundombinu. naapa, hiyo hoja ccm hawawezi kuijibu na endapo itatiliwa msisitizo wanaweza wakammaliza anayeikomalia maana ni wizi wa mchana uliokithiri!
Ngoja na hili atawajibu
 
Wato wanatoka povu hapa hata hoja siioni. Hakuna sehemu yoyote niliona Mnyika amedanganya Elimu yake, ingekua ipo hapo ndo tungeanza kumhoji Mnyika lakini haya ya majukwaani aah tunawaachia wenyewe. si hapa tunataka Facts ili tuzifanyie kazi,
 
Hii vita ya elimu ya Mnyika ingemalizwa kwa kuwafumba mdomo wote wanaochonga, na Mnyika kuweka hadharani elimu yake.
 
kama kumbukumbu zangu ziko sawa rizone alirudia mwaka.

Ali disco,akarudishwa kwa shinikizo!na kuna wanafunzi wengine wanne walipeta kutokana na shinikizo ilo!Riz ni mweupe sana tu!kenge hazai ndege wakuu!
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Kama hujayaona mafanikio kwa muda mchache aliokuwepo Kikwete madarakani basi wewe ni wale wenye macho lakini hayaoni wenye masikio lakini hayasikii.

Sio kwamba sijaona mkuu, yapo aliyoyafanya na nampongeza ila yanayoharibu image yake ni zaidi ya hayo unayotaka kila mtu ayaone, na mnaomshabikia mkifanya mchezo mpaka 2015 anaweza kuwa Rais mwenye rekodi mbaya zaidi Tanzania,japo bara bara zitakuwa na lami (maana ndio wanachojivunia) mshaurini kiukweli na sio kinafiki yapo mengi yanahitaji uimara wake lakini la udini linahitaji zaidi ya uimara, namaanisha busara, usikivu, hekima na mamuzi ya sahihi ya kuikomboa hii Nchi vinginevyo Taifa linampasukia na hapo ndio mtamsifu vizuri........au umesahau kauli ya CHAGUO LA MUNGU?
 
Mtakumbuka ni hawahawa waliokuja na hoja kuwa Dr. Slaa ana kadi ya ccm kwa hiyo bado ni mwana-ccm. Sasa baada ya kujua Slaa ana kadi ya CCM tukapata nini? Ilimfanya aache harakati zake za kuwatetea wananchi? Leo Wanaleta hoja za kijinga namna hii ili watu dhaifu wajadili mambo dhaifu na kusahau hoja za maana na zenye mashiko kwa jamii ya watanzania. Tukishajua kuwa Mnyika ana elimu ya form vi kisha? Watz anzeni sasa kuwa critical thinkers. kuna mamia ya watu wenye elimu kubwa ambao wametumika tu kufisadi nchi hii. Suala hapa siyo elimu ya Mnyika, ni Mnyika anafanya nini jimboni mwake na kwa nchi yake. Mmeelewa wajukuu zangu eeeh! Kumbukeni Nape ndiye mwanzilishi wa hoja nyepesinyepesi akiwatumia watu kama Mtela Mwampamba na Juliana Shoza. Ukikubali kununuliwa unakuwa mtumwa wa aliyekununua. Sasa mnaona wanawatumia vijana wale wawili kuzunguka kuzungumza yasiyo na mashiko kwa taifa letu. Sioni ccm walichokifanya kule Temeke. Wamesahau wajibu wao kama chama tawala wa kuisimamia serikali ilete hali bora kwa wananchi, sasa wanahubiri Chadema. Sioni mahubiri yao dhidi ya Chadema yatawapeleka wapi. I surely pity them!
 
Hivi kwani nikweli kuwa Mnyika hana Degree?? Wenye kujua hebu tuambieni basi hili maana binafsi kwenye maoni ya katiba mpya nilipendekeza sifa moja yapo ya mbunge iwe angalau na degree sasa isije kuwa wengi tumependekeza hili tukampoteza huyu mtu.

Ni kweli hana degree????
 
Kweli hawa jamaa hamnazo, hivi tafasiri ya elimu kwao ni degree? cdm na watz wa leo tunaangalia OUTPUT ya mtu leo hii kuna maDR na maPROF wangapi bungeni na tunaona wakipiga usingizi mnyika hata awe na elimu ya chekechea tutaendelea kumuhitaji kuliko yule anajiona ana elimu ndiyo watajua watz wa leo sio wale wa mwaka 47.

Wabongo wanachosha sana kwa hili. Kwa mtu aliyeelimika kufanya elimu rasmi tu kuwa ndiyo elimu ni mapungufu.

Na kama anataka kuchunguza shahada za watu basi CCM watalia wengi.

It's either deliberately distracting propagandist rhethoric or ignoble overemphasis on paper qualification rather than output.Quite possible some shades of both.

Both of the above cases are despicably low for a so called learned person.

Wapuuzi kama hawa ndo creme de la creme ya society Tanzania.

Sasa unaweza kuniambia huyu na Le Mutuz wana tofauti gani?

Ridhiwani unaiaibisha taaluma ya sheria, UDSM, familia yako na CCM kwa vimichongo rejareja.
 
Hivi kwani jamaa si kama vipi ataweza kujiendeleza kidogo kidogo umri unaruhusu..
 
Ili kuondoa huu utata, Mnyika tuondolee ili wingu kwa kutaja elimu yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom