sounds quite strange!!!Why presenting it in english, while his first post was in Kiswahili? My friend positions held by him in both law firms were just privileges because of his father's position. And for your information, from very reputable sources, the guy is terribly and profoundly bogus/TABURA LASA in law (at IMMMA, he never practised law, he was just like a messenger instead. where do you find his administrative and technical skills here? worse still he failed his masters in the UK, and you know what, in Europe when you fail a PhD or Masters degrees, you are given its immediate lower degree, the worst for r1, he was given a diploma, what a mercy! Education level ant nothing but INTELLECT!
Riz1 Kikwete kapost hvi facebook kuhusu Mnyika..
Hivi juzi bwana Nape Nnauye alijitokeza hadharani akisema juu ya uhakika alionao kuhusiana na elimu ya bwana Mnyika (mb) kuwa ameishia form Six. nikaguna kidogo hasa nikiangalia mambo mengi sana.
Mie nimepata nafasi ya kukaa na Mnyika pale chuoni na nikaona hata uhodari wake katika kuchochea migogoro. ninamkumbuka katika sakata la Mikopo ya wanafunzi na jinsi alivyoshauri wanafunzi waandamane waende IKULU kwa miguu.sasa swali au maswali ambayo sina jibu nayo ni kama haya
1. Nini kilitokea mNYIKA (MB) baada ya sisi kuondoka CHUONI? maana kumbukumbu zinaonyesha nilikuacha ukiendelea na masomo.
2. lini ulimaliza chuo pale mlimani?
3. unakumbuka habari ya Bw.Kihiyo wa jimbo la Temeke na ushuhuda wa ELIMU ambayo hakuwa nayo.
JITOKEZE HADHARANI TANABAISHA JUU YA UFAHAMU WAKO . MAANA WENGINE WAMEANZA SEMA ..................... NDIYO MAAANA KUMBE.!!!!!
My take.
HUYU JAMAA KUMBE NI MBUMBUMBU KAMA MDINGI WAKE,JE MNYIKA AKITAJA ELIMU YAKE NINI KITABADILIKA TZ..
Hii vita ya elimu ya Mnyika ingemalizwa kwa kuwafumba mdomo wote wanaochonga, na Mnyika kuweka hadharani elimu yake.
Mtakumbuka ni hawahawa waliokuja na hoja kuwa Dr. Slaa ana kadi ya ccm kwa hiyo bado ni mwana-ccm. Sasa baada ya kujua Slaa ana kadi ya CCM tukapata nini? Ilimfanya aache harakati zake za kuwatetea wananchi? Leo Wanaleta hoja za kijinga namna hii ili watu dhaifu wajadili mambo dhaifu na kusahau hoja za maana na zenye mashiko kwa jamii ya watanzania. Tukishajua kuwa Mnyika ana elimu ya form vi kisha? Watz anzeni sasa kuwa critical thinkers. kuna mamia ya watu wenye elimu kubwa ambao wametumika tu kufisadi nchi hii. Suala hapa siyo elimu ya Mnyika, ni Mnyika anafanya nini jimboni mwake na kwa nchi yake. Mmeelewa wajukuu zangu eeeh! Kumbukeni Nape ndiye mwanzilishi wa hoja nyepesinyepesi akiwatumia watu kama Mtela Mwampamba na Juliana Shoza. Ukikubali kununuliwa unakuwa mtumwa wa aliyekununua. Sasa mnaona wanawatumia vijana wale wawili kuzunguka kuzungumza yasiyo na mashiko kwa taifa letu. Sioni ccm walichokifanya kule Temeke. Wamesahau wajibu wao kama chama tawala wa kuisimamia serikali ilete hali bora kwa wananchi, sasa wanahubiri Chadema. Sioni mahubiri yao dhidi ya Chadema yatawapeleka wapi. I surely pity them!
sounds quite strange!!!
kwamba alienda kusoma kule akiwa tayari na Bachelor Degree kama 'entry requirement' then akawa demoted to diploma!? Ina maana ingekuwa seminary za wakati huo wangelikuja ku-nullify hiyo degree ya awali maana inakuwa na utata.
tunaongea haya yote but the guy has money, I tell you.
Aliyesomeshwa na CCM na kutumia nguvu kubwa ya ubalozi wa Tanzania India kupata Admission Acharya university-Bangalore,India ana Termerity ya kuhoji elimu ya Mnyika?
Na huyu mwingine aliyedandia akiambiwa alete Tasnifu(thesis) yake ya shada ya uzamili kwenye sheria LLM kule hulls university ataleta? Mnyika hajawahi kuwa na taaluma Fake kama huko CCM ambako mtu yeyote anaweza kujiita professa (mganga wa kienyeji na mfuga majini) au Doctor kisha baadae anarudi kusoma shule kuusomea udaktari ambao ameshajipa title.TCU imeshathibitisha makada wengi wa CCM wenye shahada fake
-Hebu turudi katika hoja za msingi na sio story za kutunga za vijiweni.Katibu wa itikadi na uenezi anaongea trivial issues?
Mtu anaweka elimu yake hadharani kwa matendo na maneno yake. Mnyika kashafanya hivyo.
Usichanganye "vyeti" na "elimu".
Viwili hivi si kitu kimoja.
Mbona nayeye alikuwa akinunua Mitihani ya sheria kwa kutumia nguvu ya baba yake..!!! Pia Law School ameiba mitihani kupindukia na sisi tumenyamaza.....Hana hoja huyo.
Kaka sikiliza simulizi za alfa ulellah.......
Mr. Kikwete is a young and dynamic legal practitioner with 5 years experience in legal practice having worked with reputable law firms in and outside Tanzania.Before joining GRK Advocates as a partner Mr. Kikwete worked with IMMA Advocates holding different challenging positions from January 2005 to December 2010.
During the same period Mr. Kikwete was attached to DLA Piper in London, one of ten largest law firms in the world where he was exposed to high level legal practice in the area of project financing. Both at IMMA Advocates and DLA Piper Mr. Kikwete was involved in various areas of modern day legal practice ranging from legal drafting to major aspects of project financing including due diligence inquiries, loan negotiations, consortium building and mortgage financing. His five years period of his legal practice saw him moving within the ranks of the law firms from legal officer to a partner level. Mr. Kikwete is therefore equipped with sufficient administrative as well as technical skills required for running a successful law practice.
Mr. Kikwete was admitted to the bar of advocates in 2009. He is also handling commercial and corporate litigation matters at all levels of court system and quasi- judicial tribunals. At GRK Advocates Mr. Kikwete is a partner in charge of Administration and Business Development.
He is a member of Tanganyika and East Africa Law Societies. Apart from the law degree Mr. Kikwete holds Postgraduate Certificate in Business Development from the Hull University (UK)
biashara ya kadi ya dr slaa aliyofungua kwa ubia na akina shonza imemuingiza hasara mpaka masalia wametafuta pa kutokea. Sasa wanatafuta mradi mpya, lakini huu nadhani hauna hata pa kuanzia ila unaweza kumpandisha mnyika, ila najiuliza mpaka wapi? Maana tayari yuko juu kupitiliza
Lakini usimuite Mbumbumbu. Rizone amesoma LLB.
nimepitia tovuti ya bunge upande wa elimu, mnyika hajajaziwa chochote. hoja ya kutokua na shahada inaweza kuwa na ukweli lkn hata hivyo uwezo wa mnyika ni mkubwa sana. namkubali
Mbona nayeye alikuwa akinunua Mitihani ya sheria kwa kutumia nguvu ya baba yake..!!! Pia Law School ameiba mitihani kupindukia na sisi tumenyamaza.....Hana hoja huyo.
By the way, who are you ? Mpambe wa Ritz au ndo muendelezo wa kujipendekeza ili upate nafasi za uteuzi? Ritz tumesoma nae tunamfahamu kuliko unavyo fikiria, na hii siyo siri tena Ritz ni kilazest. Elewa mtoto wa nyoka ni nyoka tu na huo ndo ukweli.