Shukrani kwa kutuwekea muendelezo mpaka mwisho.Ahsanteni Sana kwa Ushirikiano wenu,Wazee wa lawama pia ahsanteni ...Tupo pamoja
Nikweli anazitupia za kutosha mpaka kamaliza yote kuna wakati hatupii kwa zaidi ya siku 2 mpaka 3 hii inatokana na majukumu aliyo nayo simlaimuHakuna arosto
Mbududa huwa anazitupia za kutosha!
In kwwli Rais inaonekana hana kosa kabisa, sijapata kujua nini kitatokea mbeleniHatari sana
Hadi wakati huu bado sijaliona kosa la raisi. .kuamua kumshikilia Olivia na mzee agrey. ..
Hata kama mimi ningekuwa ndiye raisi ninge fanya kama alivyo fanya raisi. ... story nzuri sana
Ila Kuna baadhi ya vipande kwa namna fulani vinahusiana na simulizi ya peniela
Ahsante pia Japo kwa matusi na Maneno Makali Lakini ulivumilia pia tuwashukuru waliokuwa wanakupa back-up ya kutuletea baadhi ya Viapnde hapa all in all Ubarikiwe sana. Tunahitaji kupata vitu vinavyoweza kutufanya Akili zetu zifikirie vitu nyuma ya Pazia siyo Kila SIKU kufikiri habari za Akina Menina na Kigogo2014.Ahsanteni Sana kwa Ushirikiano wenu,Wazee wa lawama pia ahsanteni ...Tupo pamoja
Mkuu hatuwez kupata huo muendelezo wa scandal, kama unayo tupia hapa jukwaan tafadhalAhsanteni Sana kwa Ushirikiano wenu,Wazee wa lawama pia ahsanteni ...Tupo pamoja
Mkuu Scandal ni riwaya mpya mchek mwandishi kwa 0764294499 ili upate copy yakoMkuu hatuwez kupata huo muendelezo wa scandal, kama unayo tupia hapa jukwaan tafadhal
Ahsante sana chief.. kazi nzuri sanaAhsanteni Sana kwa Ushirikiano wenu,Wazee wa lawama pia ahsanteni ...Tupo pamoja