NADHANI NI AMA MIMI AU MWASILISHA MADA ANAOTA!
Unataka kutuambia na sisi tuamini kuwa Kikwete ndio alianza kuwa "rais wa Tanzania"? Nyerere, Mwinyi, Mkapa nao hawakuwa na watoto?
Kulinganisha Kikwete na Bush NI SAWA NA KULINGANISHA MAYAI NA MACHUNGWA! Havifanani hata chembe!
Sidhani kinachojadiliwa hapa ni kule kuona Ridhiwani kapata priviledge kama first son bali ni utofauti unaoanza kujitokeza baina ya jamii za kitanzania katika nafasi zote.Historia haionyeshi watoto wa marais au viongozi wengine wakuu wa nchi Tanzania wakijifanya au kufanywa kama wana ubia kwenye utawala.Tanzania ni nchi maskini mno kuanza kujitengenezea matabaka yasiyo na maana,Huyu Ridhiwani anachokiogopa hasa ni nini? Ni maadui au ni foleni? Kama ni maadui wanatoka wapi wakati tumesoma naye shule za kawaida na kuwa naye mitaani? Kama ni foleni itakayomsababishia achelewe ndege airport, je ni watanzania wangapi wanaoumizwa n hizo foleni? Kwanini asitoke nyumbani mapema kama wafanyavyo wengine? Ina maana wagonjwa, wajawazito na wengine wenye dharura mbalimbali wao wanapita wapi au nani anawajali wanapokwama kwenye foleni?
GIVE US A BREAK RIDHIWANI! YOU DIDNT CAMPAIGN FOR THE PRESIDENCY ......NEITHER DID WE VOTE FOR YOU!
Nijuavyo mimi watoto wa marais wengi tu duniani(wanaounda first family) hupewa ulinzi na ama polisi,jeshi,secret service ama chombo chochote kinachosimamia usalama wa viongozi kwa nchi husika(ikiwa ni pamoja na kuwa na motorcade yenye escort ya walinzi) so Ridhwan kama mmojawapo wa watoto wanaounda first family ulinzi ni stahili yake...
Ridhwan kavunja kipengere kipi cha katiba au sheria? Tusiendeshe nchi bila kufuata sheria kamwe hatutaweza kuwa viongozi bora wa baadaye.
Wakuu sijui ninyi mtazichukuliaje habari hizi, kwangu mimi naziona ni habari za kusikitisha. Habari kutoka chanzo cha habari cha kuaminika kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mwalimu Nyerere (JNIA), zinasema kuwa kijana, mtoto wa mkulu, Ridhiwan, kaonekana uwanjani hapo, ikisemwa kuwa ana safari yake binafsi, kwenda Dubai.
Nachelea kulia. Naomba nijikaze kiume, kijasiri ili niweze kulisema hili, naomba niwezeshwe, maana sasa nchi inakoelekezwa, aaaagh, basi wahenga na Mungu wanajua...KAPELEKWA UWANJA WA NDEGE NA ESCORT AKIWA KATIKA GARI YA IKULU, lenye ngao na polls mbili lakini HALIKUWA NA BENDERA. Mbele kulikuwa na gari ya escort ya king'ora na nyuma gari ya usalama, so the source said.
Kuna mengine tutayaongeza. Kuna kazi nafanya mara moja wakuu, just kuanzia hiyo. INASKITISHA JAMA, THIS IS EXTREMEEEEEEEEE
Kwani mtoto wa rais hadeserve usalama wa nchi? Nini maana ya kuwa first family? JF siku hizi imejaa watoto na watu wenye wivu tu. Kama mtoto wa rais anatakiwa apate ulinzi wa serikali ili kumlinda na hatari yeyote. Vilevile wanatengewa budget yao maalum kufanikisha usalama wao including gari za kuendeshwa, askari wa kuwalinda, security escort na kadhalika. Na hili lipo hata ulaya na marekani au mmesahau familia ya george Bush na watoto wake walivyokuwa wakiwasumbua usalama wa taifa wa marekani??
Wakuu sijui ninyi mtazichukuliaje habari hizi, kwangu mimi naziona ni habari za kusikitisha. Habari kutoka chanzo cha habari cha kuaminika kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mwalimu Nyerere (JNIA), zinasema kuwa kijana, mtoto wa mkulu, Ridhiwan, kaonekana uwanjani hapo, ikisemwa kuwa ana safari yake binafsi, kwenda Dubai.
Nachelea kulia. Naomba nijikaze kiume, kijasiri ili niweze kulisema hili, naomba niwezeshwe, maana sasa nchi inakoelekezwa, aaaagh, basi wahenga na Mungu wanajua...KAPELEKWA UWANJA WA NDEGE NA ESCORT AKIWA KATIKA GARI YA IKULU, lenye ngao na polls mbili lakini HALIKUWA NA BENDERA. Mbele kulikuwa na gari ya escort ya king'ora na nyuma gari ya usalama, so the source said.
Kuna mengine tutayaongeza. Kuna kazi nafanya mara moja wakuu, just kuanzia hiyo. INASKITISHA JAMA, THIS IS EXTREMEEEEEEEEE
Ndio maana tukawaomba mumchague rais mwenye mchumba ili tusipate hasara ya magari ya ikulu kutumiwa na watoto wa rais.