Hapo kwenye red Kumbuka hapa tupo tanzania na haya yanafanyika Tanzania na tunaongelea ya Tanzania. Kwani Tz ni USA?Kwani mtoto wa rais hadeserve usalama wa nchi? Nini maana ya kuwa first family? JF siku hizi imejaa watoto na watu wenye wivu tu. Kama mtoto wa rais anatakiwa apate ulinzi wa serikali ili kumlinda na hatari yeyote. Vilevile wanatengewa budget yao maalum kufanikisha usalama wao including gari za kuendeshwa, askari wa kuwalinda, security escort na kadhalika.[/PHP][/HTML]na watoto wake walivyokuwa wakiwasumbua usalama wa taifa wa marekani??HTML:[PHP][HTML][I]:roll::roll:[COLOR="#ff0000"][/COLOR][/I]