TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

Nakumbuka uncle amefariki sikufuta namba, sasa baada ya miezi minne auntie akanipigia kwa namba ya uncle alafu nilikuwa nishalala nilishtuka sana na sikupokea hadi alipotuma msg ingawa nikamtafuta kesho yake nikimdanganya kuwa nilikuwa nimelala.
Huwa ni vigumu kufuta kumbukumbu za Kifo cha mpendwa wako


Na iwapo utasalia na namba yake, ndiyo inaweza kuzidisha huzuni zaidi
 
Valentina alikua mtu aliyependa kutengeneza marafiki. Mwaka 2017 tulikutana hapa JF baadaye akaniunga kwa WhatsApp group lake ila siku interested tukabakia kuwa marafiki kwa muda wote!

Mara nyingi alikua akinialika endapo nikiwa Arusha tubadilishane mawazo ila ratiba zikawa ngumu hata niendapo Arusha

Leo ndio nimeona taarifa za msiba kutoka kwa ndugu yake. Nimejiskia vibaya sana. Nimeambiwa alifariki aliwa anajifungua ila mtoto amenusurika. Mungu awape uvumilivu familia yake,wanaJF na marafiki wote wa Valentina hapa jamvini
 
Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭

Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.

Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.

Update:
Mazishi ni siku ya juma3, tarehe 27.
Ibada ya mazishi itafanyika nyumbani pale alipokuwa akiishi Mpendwa wetu Valee. (Maghorofani) na baadae tutaelekea Makaburi ya Njiro - Arusha kwa ajili ya kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele.

Mwanga wa milele ukuangazie kipenzi chetu Valentina Upumzike Salama.

Forever in our Hearts 🕊️💔
Weka picha hata ya ovatar yake sasa wasiomjua waitambue hata
 
Back
Top Bottom