Tonny Kapola Gas Station
JF-Expert Member
- Aug 14, 2025
- 361
- 944
Please fanyeni hivyo. Ila tu process iwe transparent na ibarikiwe na uongozi wa JF. Marehemu inaonekana aligusa maisha ya wengi na mwitikio utakuwa mzuri tu. Mbarikiwe sana 🙏🏿Ndio, ameacha ka baby boy..
Mods wakibariki tutaweka namba.. ambayo inatumika huku nje au pia ya mdogo wake Valee.