King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,418
- 88,736
Wema hawana maisha.
Nashindwa hata niseme nini jamani dahhhhh!!!!!😭😭
Mimi nahisi nitakuwepoSi ni kweli lakini
Sawa ,ukiwepo ukumbuke , kutu tag japo tutakuwa hatu reply tenaMimi nahisi nitakuwepo
Wewe Mwachi na hayo masotojo yako, dumu ya mafuta ya lita 5 unaitumia wiki 2 😁Mimi nahisi nitakuwepo
Mkuu za kitambo?Ulikuwa umejificha wapi mkuu Ngoda?
Roho imeniuma...Nashindwa hata niseme nini jamani dahhhhh!!!!!😭😭
May her soul rest in peace 🕯️🕯️🕯️🕯️
Oh God...Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭
Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Update:
Mazishi ni siku ya juma3, tarehe 27.
Ibada ya mazishi itafanyika nyumbani pale alipokuwa akiishi Mpendwa wetu Valee. (Maghorofani) na baadae tutaelekea Makaburi ya Njiro - Arusha kwa ajili ya kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele.
Mwanga wa milele ukuangazie kipenzi chetu Valentina Upumzike Salama.
Forever in our Hearts 🕊️💔
Kumbe hawezi penyaWewe Mwachi na hayo masotojo yako, dumu ya mafuta ya lita 5 unaitumia wiki 2 😁
Usijar bossSawa ,ukiwepo ukumbuke , kutu tag japo tutakuwa hatu reply tena
Wiki moja namaliza lita tano 😂😂 kitambii kiko juu juu nowWewe Mwachi na hayo masotojo yako, dumu ya mafuta ya lita 5 unaitumia wiki 2 😁
Pole lo! Mungu amempenda zaidiRoho imeniuma...
Pole sana madam , na alikua rafiki yako sanaPole lo! Mungu amempenda zaidi
Mnoo yani! Nimeumia sanaPole sana madam , na alikua rafiki yako sana
Pole sana ndivyo maisha yalivyoMnoo yani! Nimeumia sana
Kumbe Mungu akikupenda zaidi anakudedisha?Pole lo! Mungu amempenda zaidi