Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,771
- 9,131
R.I.P
Apumzike kwa amani (RIP)Nina deni kubwa kwa Valentina na sijui nitalilipaje.. Labda kwa kichanga alichokiacha😭 Mungu nisaidie🙏🏿
Marehemu Valentina ndiye Mwana JF wa kwanza kufanya naye mawasiliano ya simu wayback 2013... Baadae nikawa mmoja wa wana JF aliowashirikisha kwenye fursa mbalimbali za kutafutq pesa na ajira.. Alipenda sana kuwa mbunifu wa fursa za pamoja japo nadhani wengi kama si wachache hawakumuelewa..
Tuliendelea kuwasiliana na akatamani tuonane ana kwa ana.. Lakini kila nilipokuwa na safari za Arusha mambo yangu yakawa mengi hivyo nikakosa kabisa muda wa kuonana naye😪
Mwaka 2021 nikiwa nafanya kazi Kigamboni Kibadq akanijulishq kwamba kwasasa yuko Dar.. Nikamuelekeza nilipo lakini akaniambia kwa situation yake hawezi kutumia usafiri wa jumuiya.. Nikaahidi kumchukulia usafiri wa binafsi ama mimi nimtembelee alipo lakini sikufanikiwa kufanya yote mawili mpaka naondoka Kigamboni🥱
Nadhani harakati na changamoto za maisha zinatunyima nafasi adhimu za upendo na kujali... Tuliendelea kuwasiliana mara moja moja lakini mwishowe mawasiliano yakakatika kabisa mpaka nililokuja kusoma hii taarifa ya kutwaliwa kwake!
Kwa moyo wa dhati naamini nina deni kwake.. Lakini naamini kuna siku nitalilipa. Pumzika kwa amani rafiki mwema😪
Mke mwenza kaniuma 😥😭😭Apumzike mahali pema, inaonekana alikuwa mpole sio kivuruge km mimi na Lamomy pole sana kwa kumpoteza mke mwenzio
Umetafakari sana.Maisha hayana maana kabisa
Jirani tutengeneze umoja wetu vivuruge ili tuje kukumbukana KapeaceMke mwenza kaniuma 😥😭😭
Hii dunia hiii 🥹
Roho yake ipumzike kwa amani Vee wangu..🕊️❤️
Pamoja na uchokozi wangu lakini tulikua tunataniana na kufurahi..!!
Vee alikuwa mtu wa watu, sijui km aliwahi hata kugombana na member humu..!!
Mahi sisi vivuruge tukifa kwanza sijui km hata taarifa watapata 😹
😹😹😹 Jirani tuko msibani ujue acha kunichekesha..!!
Kuna watu watatusimanga si unajua wasivyo na dogo,Mke mwenza kaniuma 😥😭😭
Hii dunia hiii 🥹
Roho yake ipumzike kwa amani Vee wangu..🕊️❤️
Pamoja na uchokozi wangu lakini tulikua tunataniana na kufurahi..!!
Vee alikuwa mtu wa watu, sijui km aliwahi hata kugombana na member humu..!!
Mahi sisi vivuruge tukifa kwanza sijui km hata taarifa watapata 😹
Kabisa msinisahau maana sioni dalili za kuwa mtakatifu ndo kwanza nazidi kuwa kivuruge
Safari ya mwisho ya mpendwa wetu Vallentina makaburi ya Njiro leo mchana. Mungu ampe pumziko la milele dada yetu kipenziMimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭
Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Update:
Mazishi ni siku ya juma3, tarehe 27.
Ibada ya mazishi itafanyika nyumbani pale alipokuwa akiishi Mpendwa wetu Valee. (Maghorofani) na baadae tutaelekea Makaburi ya Njiro - Arusha kwa ajili ya kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele.
Mwanga wa milele ukuangazie kipenzi chetu Valentina Upumzike Salama.
Forever in our Hearts 🕊️💔
Dah,haya maisha banaTunamshukuru Mungu kwa ajili ya maisha yako darling Valentina
For the love, kindness, and light you shared with everyone around you. Uliishi maisha yenye upendo na unyenyekevu mwingi..
Though you are gone from our sight bt you will forever remain in our hearts.
Farewell darlin
Till we meet again 🕊️🕊View attachment 3494706
Kubeba mimba ukiwa 40+ ni hatari kwa afya na uzima wako, japo ni kweli wengi wanazaa tu ila very risky.
Okay, usitumie sunrise year uliyoona kuhisi kwamba 40yrs ni risk kuzaa.Kubeba mimba ukiwa 40+ ni hatari kwa afya na uzima wako, japo ni kweli wengi wanazaa tu ila very risky.
Hatuwatishi mkuu, tunaongea mambo yaliyopo. Mke wangu pia alikatazwa ku-conceive japo alitaka sana, risks are high ukishavuka 35. Sisemei scenario hii, I'm just being geneal. Wala usiichukue too personal, poleni kwa yaliyotokea.Okay, usitumie sunrise year uliyoona kuhisi kwamba 40yrs ni risk kuzaa.
Nadhani hukumfahamu… kuna other factors( hii sentensi iishe hivi hivi pls)
Msitishe wanawake wapate hofu kwamba miaka fulani ni hatari kuzaa..
Asante kwa angalizo.. tutazaa mapema 🥰Hatuwatishi mkuu, tunaongea mambo yaliyopo. Mke wangu pia alikatazwa ku-conceive japo alitaka sana, risks are high ukishavuka 35. Sisemei scenario hii, I'm just being geneal. Wala usiichukue too personal, poleni kwa yaliyotokea.
Mkuu chanzo nini?Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya maisha yako darling Valentina
For the love, kindness, and light you shared with everyone around you. Uliishi maisha yenye upendo na unyenyekevu mwingi..
Though you are gone from our sight bt you will forever remain in our hearts.
Farewell darlin
Till we meet again 🕊️🕊View attachment 3494706
Uzazi..Mkuu chanzo nini?
Nilitaka kuuliza siku umepost nikaupoteza uzi.