Halafu Kesho kutwa wewe mwenyewe.Apumzike kwa amani, leo yeye kesho nyinyi mna fata.
Wewe haumo?Apumzike kwa amani, leo yeye kesho nyinyi mna fata.
Ni mawazo yangu kwamba, kuendelea kuwa nayo, itazidi kuongeza majonzi na simanzi hasa ukikumbuka huwezi kumpata tena hewaniNi ngumu sana lakini binafsi sioni haja ya kufuta.
Apumzike kwa amani valentina, alikua mtu mwema sana .
Ndio jina lake halisi labda?Hilo hilo Valentine
Hata whatsap
Pole mkuu , kwa nyinyi mliokuwa na mawasiliano zaidi ya hapa kwa kweli inauma zaidi kwenu, hata hivyo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu na kila kiumbe kuwa na mwanzo na mwisho.Ni mawazo yangu kwamba, kuendelea kuwa nayo, itazidi kuongeza majonzi na simanzi hasa ukikumbuka huwezi kumpata tena hewani
Alizoea kunitania hapa, akiona nimekaa kimya nakuta simu inaita akinipigia 🙌
Babu umekufa nini kwa Uzee, mbona sikuoni hewani 🙌😭😭
Hakika MkuuPole mkuu , kwa nyinyi mliokuwa na mawasiliano zaidi ya hapa kwa kweli inauma zaidi kwenu, hata hivyo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu na kila kiumbe kuwa na mwanzo na mwisho.
Tunamuombea mapumziko yenye amani na ajaliwe kukutana na Mungu.