Mimi nikutafutie wewe ban?
mbona unalazimisha nikupe umuhimu ambao hauna?
hii thread nbi ya
Kaunga sio?
tunachangia namna ya kuboresha MMU sio?
sasa wewe umeingilia wapi hapa?
unless una some issues zinakusumbua....mimi niko MMU
Nazungumza threads za MMU na taratibu zake....
na watu kama wewe ambao hamtaki watu wachangie threads simply sababu
unaona watu wanakutafutia BAN....au wako tofauti na wewe
ndio tunashauri hapa ....threads za aina hiyo zipekekwe Chit chat au jukwaa la kikubwa
ukizileta MMU tutachangia hata kama kwa kuchangia tutakusababishia ban au kukuongezea stress...
wewe sio unae set rules here,hata ukiweka threads sio kwamba una i own....
kuna rules...na hizo rules tukiona hazifuatwi tutazungumza.....ndio MMU ilivyo...