Nimeonelea niwakumbushe wanajamii hususani jukwaa hili la MMU, mtu anapoomba ushauri tumshauri kweli kwa busara zote, tusianze mtupia matusi ama lugha za utani uloptiliza, kuna jukwaa la jokes nadhani lipo kwa minaajili hyo, humu mtu anataka ushauri wa kweli kwa yanayomsibu ila watu tumejisahau na kugeuza MMU kama forum ya Jokes na Matusi, tujitahidi....................kama huwezi, waweza pita tu na kuwaachia wa kushauri wafanye kazi yao.
Na unayeomba ushauri, uwe kweli ni mkasa realistic, either umetokea au waweza kutokea.
Ni hayo tu, naona tunaptiza sasa..