Aljazera
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 637
- 224
ukitaka kujua familia yenye mama bora mwenye malezi bora t kama ya Lowassa,we tizama hata watoto wao hawana shobo japo wanatoka familia yenye almost kila kitu ,sio watu wakujisifia ,nakumbuka kuna dadake Fredy alikuwa anafanya kazi hospital ya serikali(daktari) hapo dar es salaam,sikujua yeye ni nani mpaka nilipo kuja kutonywa,alikuwa hana makuu ana muhudumia kila mtu.. lakini tazama watoto wa mr.misifa makeke yao,yule mteja ndo kila siku kigulu na njia kabakiza kuparty tuu hana lingine analo kumbuka
We hujui ule msemo wa masikini akipata ni shida mtaani?