izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,465
Kachukue buku 7 yako fasta kwa Makamba.
mkuu cku hz ni buku 5 tu fedha nyingi 2mewekeza ktk kununua majeshi ya kukodi na wanamgambo kama wakina ray,ant ezekiel na kitengo cha IT masaki
Kachukue buku 7 yako fasta kwa Makamba.
Mnafiki mkubwa wewe, raisi bora zaidi kuwahi kutokea marekani franklin roosevelt aliongoza nchi akiwa kwenye wheel chair
mkuu cku hz ni buku 5 tu fedha nyingi 2mewekeza ktk kununua majeshi ya kukodi na wanamgambo kama wakina ray,ant ezekiel na kitengo cha IT masaki
mama kwanza pole kwa majukumu,
nimeona nitumie njia hii kukushauri,mimi ninampenda sana mumeo waziri wangu mkuu aliyestaafu,mtu aliyekuwa mchapakazi na mwenye maamuzi magumu.mama ninakushauri ufungue moyo wako uone ukweli huu na kwa kuwa ninaamini unampenda mumeo utachukua hatua ya kutafakari na kufanya maamuzi magumu.
Mzee wetu anaumwa mama hakuna haja ya kumfedhehesha mbele za watu,msitiri mumeo ,wanasiasa wanalazimisha kumtumia si kwamba wanampenda kama umpendavyo wewe ila wanapenda pesa zake tu.
Kama ni kujisafisha tayari walimtukana fisadi wameshamsafisha wenyewe,usisubiri yampate ya aibu zaidi,unajua yaliyompata akiwa chato,kuna siku yatamtokea akiwa amechomekea na waandishi wataweka hadharani.
Mwacheni mzee apunzike amelifanyia taifa hili kazi njema sana,wewe waambie anaenda kucheki afya then potelea huko urudi siku 3 kabla ya uchaguzi, lakini wambie wanao pesa alizo nazo baba yao alitafuta akiwa timamu ni wajibu wao kuzitunza na kuziendeleza na kumshauri wakijua hawana baba mwingine na hao wapambe baada ya uchaguzi hawatawaona.
Ni ushauri mama
kwa kifupi una sifa kuu mbili
1.uchawi
2.dalali wa viungo vya binadamu...mwaka huu hamjafikisha lengo imekula kwenu.
Laana wakubwa.
Mnafiki mkubwa wewe, raisi bora zaidi kuwahi kutokea marekani franklin roosevelt aliongoza nchi akiwa kwenye wheel chair
mkuu tumepunguza dau si unajua gharama ya kubeba watu kwenye malori kila tukifanya mkutano kuwalipa kina diamond kugawa fedha a.k.a rushwa kama unavyomuona mama samia ktk gazeti la mawio leo posho za vikao lumumba coz lowassa anatufanya tusilale ningependa kuchukua nafasi hii bnafasi kuwashukulu wasanii hasa diamond maana bila huyu dah nadhani uwanjani kungekuwa na mgombea urais na timu yake ,Dj na green guard tuuKumbe imepunguzwa mkuu..!!