Bigteacher
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 457
- 191
Teh teh teh mnanikumbusha maneno flan ya kwenye khanga "UKIPENDA BOGA PENDA NA UA LAKE"
Haya hawa ndo WATANZANIA banaa
Haya hawa ndo WATANZANIA banaa
mkuu umeoa? maana hii umeonyesha full u-childish kwa kweli.Namheshimu sana Slaa leo angeniomba ushauri kuhusu ndoa yake bila kupepesa macho ningemshauri amrudie Rose Kamili, huenda yanayotokea leo yasingetokea.
Nani kakuambia lowassa ni masai wa porini..wale ni educated familly bwana..acha propaganda usizozijua ..kwanza mama Regina Lowassa sio mmasai ni mrangi wa kondoa..acha ushamba kitu hukijui tulia!
Hivi yule First Lady wetu wa zamani bado na yupo na mzee?Maana nasikia walikuwa na ile inayoitwa 'the marriage of convenience'.
Mama Pamela si Mmasai ni Mrangi katoka kijiji kimoja na Jaji Lubuva wa Tume ya Uchaguzi
Hawatoki kijiji kimoja kama hujui uliza uambiwe. Nilikwisha fanya project maeneo hayo na nina uhakika na niandikacho