Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
Regina Lowasa si mmasai.
Dada yake T.Lissu au?
Regina Lowasa si mmasai.
Regina ni mrangi siyo mmasaiKatika wanawake wanaoongoza kunyanyasika duniani na mfumo dume ni wanawake wa Kimasai.Mwanamke wa kimasai hana sauti kwa mumewe yaani acha tu.Ni wa kuburuzwa tu hana hiari.Uliza mwanamke yeyote wa kimasai akwambie.Huyo mama naomba tu mumuache kama ni mateso aliyopata yanamtosha msimwongezee mengine.Nawaombeni tafadhali.Na naomba nimpe pole ya dhati kwa yote mama Regina LOWASA.Amwachie tu mwenyezi Mungu.
Huyu wala haitaji crash course ya u first lady kama Salma alivyofanyiwa-huyu from the word go she will hit the ground running-viwango vyote vya kimataifa anavyo-mungu atupe nini watanzaniaEL akishinda kwa mara ya kwanza Tanzania inapata 1st Lady wa viwango kusema ukweli
Leo Regina anapewa sifa hata asizostahili.kweli bavicha bangi imewaharibu ubongo.
Katika wanawake wanaoongoza kunyanyasika duniani na mfumo dume ni wanawake wa Kimasai.Mwanamke wa kimasai hana sauti kwa mumewe yaani acha tu.Ni wa kuburuzwa tu hana hiari.Uliza mwanamke yeyote wa kimasai akwambie.Huyo mama naomba tu mumuache kama ni mateso aliyopata yanamtosha msimwongezee mengine.Nawaombeni tafadhali.Na naomba nimpe pole ya dhati kwa yote mama Regina LOWASA.Amwachie tu mwenyezi Mungu.
na tabasamu lake lile
Regina mama yetu. Tunakuheshimu sana.
Na ile hali ya ukimya bila kihelehele kama cha Salma! Pamoja nakuwa mmewe sio rahisi, lakini kwa umaarufu na kipato cha mme wake angelitangaza ufalme/umalkia kwa kiasi chake! She is calm as if nothing is taking placeMke wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Ndugu Edward Lowassa ni wa kupigiwa makofi ya pongezi. Yuko na mumewe bega kwa bega. Hamwachi. Ametoka naye huku;akaenda naye kule. Hongera sana Regina Lowassa. Wanamama wa Tanzania mpatecha kujifunza toka kwake.
Ndoa ina mambo yake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Aah! Musa Allan! Hata wewe?Regina mama yetu. Tunakuheshimu sana.
Watanzania kwa unafiki hatujambo tunamsifia mtu wakati huwa tunamuona kwenye tv hata hatujui tabia zake.
Asante sana kwa hii thread, nilikuwa nasubiri sana kupata uzi kama huu.yule mama ni special kwa jinsi ambavyo yupo sambamba na his excellency president lowasa.