Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
Nimeumia sana
Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA Mh.Regia mtema amefariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea Ruvu darajani.Poleni makamanda.Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina.source Brekn news radio one.
Jamani ni kweli au macho yangu hayaniambii ukweli?
Mama yangu weeee! siwezi amini hiki kitu hata siku moja! jamani hizi habari ni kweli au ninaota?Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.
Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.
Habari hizi zimethibitishwa.
Mimi pia nimethibitisha mkuu, sema it's hard to believe...mkuu ndio hivyo dada yetu katutoka ..nimempigia mdogo wake kathibitisha ..itv radio onwe wote wameshatangaza..RIP Regia
ni kweli,kazi ya mungu.Jamani mbona machozi yamenitoka. Nimetetemeka hapa nilipo hata miguu imeshindwa kuhimili kukanyaga chini. Ni Regia huyu ninayemjua humu JF? Ni huyu aliyetueleza amewafanyia nini watu wa Kilombero?
Sijaamini bado lakini kama ni hivyo basi sisi sote twaenda huko.
Ama kweli Duniani sisi ni wapitaji.Poleni ndugu,Rafiki,Wapigania haki wa nchi hii pamoja na raslimali zake haitoshi tu tuamini kwamba Ushindi utapatikana.Jamani ni kweli au macho yangu hayaniambii ukweli?