Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,502
- 1,958
I am speechless japo kufa ni lazima kwetu sote. Rest in peace regia mtema.
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.
Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha.
Habari hizi zimethibitishwa.