Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

dah kuna watoto wanavihips unaweza kupata mfadhaiko usipokuwa makinh
 
shost ulipotea....mpaka Miss aboronge ndio utokee.....haya niambie Boflo anatumia ID gani.....maana.....mmmh.......
Nipo shost! Sometimes huwa natumia muda mwingi kuwasoma wenzangu naona uvivu kuchangia. Ila hako kabinti kamenikera mpaka nikachangia! Hivi kweli Boflo kapotelea wapi best? Au ulimwacha kwenye jumba la Mbezi Beach nini? Itabidi tuanze kazi ya kumtafuta best wetu.
 
Last edited by a moderator:
few minutes to go.........
 
Second runner up.....Clara Bayo........
 
Latifa Mohamed wa pili.......
 
Namba 3 Clara Bayo

Namba 2 Latifa Mohamed

Miss Tanzania 2013 Happyness Watimanywa
 
Tulijua tu....Dodoma Hoyeeeeeeeeeeeee.............
 
tumefurahi kufuatilia mtanange huu kupitia Star TV....ila....PICTURE QUALITY YENU NI MBAYA.......mxuuuuuuuu........
 
Back
Top Bottom