Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Sijapenda show ya JD hakuna kitu cha ziada kuongeza mvuto
 
Kiukweli hata mie sijaipenda Show ya Jide ya leo thou huwa namkubali....
 
Jamani, wengine kwenye wamekaza vignja kama wanapiga saluti.Ila wazurimo
 
Star tv quality ya picha ni mbaya jirekebisheni. Hamzoom mna onuesha kwa mbaali kama LTBC .
 
Kundi la kwanza wazuriiiiSioni vizuri namba , picha haina quality ila kuna gauni ya green nimeipenda
 
Wale wadau wa ulimbwende......tukutane hapa saa hii.....
Ndio sasa mambo yapo jikoni.....Star TV......sijui nani atachukua........
huku tukisubiriu Miss World hapo tar 28 Sept..........tusuuze macho na hii.......
cc: Dark City.... Balantanda...... Kongosho.......na wengine.........
Shindano limepooza kweli aisee.....
 
Last edited by a moderator:
Miss Photogenic.....Happiness Watimanywa........
Miss Top Model......Narieta Boniface......
Miss Talent........Prisca Clement......
Top Sports Woman.....Clara Bayo.......
Miss Personality.....Sevelina Lwinga.........
 
Back
Top Bottom