Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

hivi huu mziki unaopigwa ni nani kauimba....?....umekaa kama Angelique Kidjo..........
 
nimemkosa angela damas
nimemkosa nasreen kareem
nimemkosa millean magese
nimemkosa richa adhia

lazima huyu wa sasa hivi na mimi nishafishe nyota
nikopa hata finca kwa kweli
khaaa

wao si wanajiita sijui pedeshee ndama mtoto wa ng'ombe mimi nitajiita c.t.u
pedeshee kifaranga mtoto wa kuku

KAMA MBWAI MBWAI TU


Kuna hako ka mby walah lazma nikape rift wakati kanenda kwa college Tumaini unvcty mby kampasi pale Uzunguni...
 
kuna mshono wa kitenge wa ngazingazi nimeuona..... Kongosho hebu niletee niuangalie vizuri........

mi mewapenda wale WA mwanzo kabisa...shona mwaego you will rooock..wengine sijaona hata ubunifu
 
Last edited by a moderator:
Nimeuoana, ila nimeshindwa ukariri

Ngoja tusubiri kesho mablogs watuwekee.

kuna mshono wa kitenge wa ngazingazi nimeuona..... Kongosho hebu niletee niuangalie vizuri........
 
Last edited by a moderator:
Sijapenda show ya JD hakuna kitu cha ziada kuongeza mvuto
 
Back
Top Bottom