atleast but she cant go so far in mis world
Ila Zawadi ni ndogo saaana ukilinganisha na gharama ya kuuza sura.
Kwao kuna magari huyu demu, kwa hiyo kawaida sana. Wangempa mtu ambaye tungetafutana kwenye mafuta, sasa huyu tutampataje jamani, duh!
sasa nikalale(we).........tukutane tena tar 8 Sept kwa ajili ya Miss World.........ALAMSIKI..........
Manenm ya mkosaji.
Kwao kuna magari huyu demu, kwa hiyo kawaida sana. Wangempa mtu ambaye tungetafutana kwenye mafuta, sasa huyu tutampataje jamani, duh!
Jaman yaan wamemtosa Lucy..
BTW Latifa alijibu swalu gani???
sasa nikalale(we).........tukutane tena tar 8 Sept kwa ajili ya Miss World.........ALAMSIKI..........
Hiyo tarehe 8 imepita best Pretasasa nikalale(we).........tukutane tena tar 8 Sept kwa ajili ya Miss World.........ALAMSIKI..........