me miss Tz wangu ni PretaWale wadau wa ulimbwende......tukutane hapa saa hii.....
Ndio sasa mambo yapo jikoni.....Star TV......sijui nani atachukua........
huku tukisubiriu Miss World hapo tar 28 Sept..........tusuuze macho na hii.......
cc: Dark City.... Balantanda...... Kongosho.......na wengine.........
Huyu Binti amezaliwa na kukulia Tabora ni mtoto wa marehemu Kapteni wa JWTZ Ruta Watimanywa. Na mpaka leo bado mama yake ana-investments nyingi tu huko Tabora nimeshangaa lini ameanza kuishi Dodoma mpaka kufikia hatua ya kuuwakilisha mkoa huo. Nilichokifahamu ni kwamba walihamia Morogoro na alikuwa anasoma Shahada ya kwanza huko South Africa.
All in all wanatabora (Nyumbani kwenu) tunakupongeza sana Happiness Ruta Watimanywa kwa mafanikio yako tunaimani wanyamwezi tumetoa mchango fulani kwenye mafanikio yako haya.
HAPPINESS WATIMANYWA - KUELEKEA REDDS MISS TANZANIA 2013 - Amani Masue
2010 alikua form 4, sijui degree kaipataje.
HAPPINESS WATIMANYWA - KUELEKEA REDDS MISS TANZANIA 2013 - Amani Masue
2010 alikua form 4, sijui degree kaipataje.
Ayaaaa........ngoja ni edit.......si nilikuwa nawahi kitandani......
Huyu aliyeandika hayo kuhusu huyu binti ameshindwa kutumia akili ya kawaida kabisa kutofautisha kati ya hao wadogo zake Happy yaani Romeo na Angel, wenyewe wanaonekana kabisa ni mashombeshombe tofauti na Happy. Mama yao alikuja olewa na Huyo Mgiriki baada ya mumewe wa Kwanza Kapteni Ruta Timanywa kufariki miaka ya 1995 happy akiwa ni mtoto mdogo sana mkoani Tabora huko walipokuwa wanaishi.
kuna kimoja kimejaziajazia kwa nyuma.....kizuri.........
alikua mdogo kama wa umri gani??
bad colour....camera
quality mbya....mavazi wamejitahidi....the weird part...is mshindi was
not cheerful ivo yani hana mzuka wa kushnda t was so plain....na the
crowd daah.....no PROUSE kabisa.....hata hawakucheer up......t wasnt dat
great kwangu...n my frnds tuliokuwa tunawatch
though ni mrembo na pia
ana-confidence lakin uongo ndio utakaomwangusha kwenye miss
world...nilimpenda tangu mwanzo wa shindano na alikua ndo mshindi
wangu...ila ilipotajwa tu historia yake sikuamn,1994??degre??ni bora
angesema kua bdo anasoma hyo dgre
sasa si naskia kakulia hukohuko exposure ya nini tena dada angu charminglady hapo ndo unaamini kale ka msemo ka mwenye nacho atazidishiwa wenzie wanatamani kwenda kuona ma pyramid yeye wa familia mambo safi ana wazibia riziki is this fair dada yanguSure.... Atleast exposure ya mamtoni!!""