Ujinga kuuliza daladala linaelekea wapi wakati konda anatangaza kwa sauti kubwa
Huu ni ujinga haswa..Ni ujinga kukaa seat ya mbele kny daladala alafu unaanza kugeuka kumwambia konda unaposhukia badala ya kumwambia dereva uliyekaa nae mbele..
Wangu bado haujsemwa mamito... Ukisemwa ntakuPM ctautaja hdharani..
ujinga nikufungua bar na kukosa jiko walau la mchemsho wa makongoro
Ujinga kuuliza daladala linaelekea wapi wakati konda anatangaza kwa sauti kubwa
huyu jamaa ni ovyo kweli halafu si ndo tunamlipani ujinga kuwaambia wanainchi wapige mbizi wakati wewe ni kiongozi wao
Ujinga ni kuua kunguni kwa kidole halafu ukanusa (huku ukijua kuwa harufu ya kunguni siku zote ni ile ile)
Milevi utakijua tu
ujinga ni kuongea na simu kwa ishara wakati huyo unaeongea nae hakuoni....
Ni ujinga kusema enzi za Nyerere mambo fulani hayakuwepo
au mwalimu angekuwa hai mambo hayo yasingetokea...