ujinga ni kumuita mhudumu "waiter" wakati wewe ndo unasubiria huduma. ..
Tuendelee wanajamii....
Wote ni 'waiters',mmoja anasubiri mteja/apate pesa na mwingine ansubiri huduma/akamuliwe pesa.
ujinga ni kumuita mhudumu "waiter" wakati wewe ndo unasubiria huduma. ..
Tuendelee wanajamii....
Ujinga, hausomi halafu unataka kufaulu!