Re: Ujinga

Re: Ujinga

ujinga ni kumuita mhudumu "waiter" wakati wewe ndo unasubiria huduma. ..

Tuendelee wanajamii....

Wote ni 'waiters',mmoja anasubiri mteja/apate pesa na mwingine ansubiri huduma/akamuliwe pesa.
 
ujinga ni kupunguza saut ya redio ili usome msg
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Kyela Mbeya
 
Ujinga ni kumwambia kondakta wa daladala shusha wakati umekaa karibu na dereva..
 
Ujinga kuvaa suti halafu unakimbiza daladala upande
 
Back
Top Bottom