- Thread starter
- #101
teh teh ial kuna kitu cha kutafakari hapo
umeona eenh!!!!
teh teh ial kuna kitu cha kutafakari hapo
Ujinga ni kuchukua pesa kwenye atm halafu unazihesabu
Ujinga ni kuchukua pesa kwenye atm halafu unazihesabu
Ujinga ni kusema na-log off halafu bado tunaendelea kukuona humu!
Ujinga kukataa kupiga kura, baada ya uchaguzi unalalamika viongozi wabovu wamechaguliwa
Ujinga ni kuchukua pesa kwenye atm halafu unazihesabu
ujinga ni kumuamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi