Wambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 558 Reaction score 335 Jan 12, 2012 Thread starter #121 Kyoombe said: Ujinga kukopa pesa benki, unanunua gari lakini unaishi kwenye nyumba ya kupanga. Huku jf mpo wengi. Click to expand... Ha ha ha ha
Kyoombe said: Ujinga kukopa pesa benki, unanunua gari lakini unaishi kwenye nyumba ya kupanga. Huku jf mpo wengi. Click to expand... Ha ha ha ha
Wambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 558 Reaction score 335 Jan 12, 2012 Thread starter #122 nitonye said: Ujinga ni pale mtu anapokugongea mlango chooni wakati bado unakata gogo yaani stimu zote zinaondoka Click to expand... Acha kabisa io mambo broda
nitonye said: Ujinga ni pale mtu anapokugongea mlango chooni wakati bado unakata gogo yaani stimu zote zinaondoka Click to expand... Acha kabisa io mambo broda
Kyoombe JF-Expert Member Joined Sep 23, 2011 Posts 1,210 Reaction score 784 Jan 12, 2012 #123 Ujinga ni kumdanganya boss kwenye simu upo benki halafu anasikia sauti ya jogoo kawika!
Wambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 558 Reaction score 335 Jan 12, 2012 Thread starter #124 ha ha ha ha ha ah ah aha ha ha ha
B BoQ Member Joined May 31, 2011 Posts 34 Reaction score 0 Jan 12, 2012 #125 Ujinga ni kujikuna **** wakati umevaa suruali.
Pendael laizer JF-Expert Member Joined Jan 14, 2012 Posts 958 Reaction score 105 Feb 11, 2012 #126 Ujinga ni kutembea na mke wa mtu wakati waschana ni weng wako single
DAWA YA SIKIO JF-Expert Member Joined Dec 8, 2011 Posts 978 Reaction score 184 Feb 11, 2012 #127 Ujinga ni kutoa michango ya malaki ya pesa msibani. Wakati marehemu alikosa laki 1 tu ya kutibiwa private hospital wakati wa mgomo.
Ujinga ni kutoa michango ya malaki ya pesa msibani. Wakati marehemu alikosa laki 1 tu ya kutibiwa private hospital wakati wa mgomo.
Domowazi JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 203 Reaction score 28 Feb 11, 2012 #128 Ujinga ni kuckiliza empty cd kwsababu hutaki kelele...!
Domowazi JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 203 Reaction score 28 Feb 11, 2012 #129 Pia ujinga ni kupika chapati upande mmoja kisa mafuta yamepanda bei..!
N Ndevu mbili JF-Expert Member Joined Jan 11, 2011 Posts 379 Reaction score 42 Feb 11, 2012 #130 Wambuzi said: Ndo ujinga tunaousema huo... Ha ha ha nakutania mwaya Click to expand... Ujinga kudanganywa na mwanao!
Wambuzi said: Ndo ujinga tunaousema huo... Ha ha ha nakutania mwaya Click to expand... Ujinga kudanganywa na mwanao!
B Blackboy. Member Joined Dec 26, 2011 Posts 22 Reaction score 0 Feb 11, 2012 #131 Ujinga ni kuingiza mkono sehem ny**i wakati wa kulala
C Chabo JF-Expert Member Joined Jul 20, 2011 Posts 1,098 Reaction score 1,174 Feb 11, 2012 #132 Ujinga ni kumuomba konda wa daladala kuwa una mia mbili halafu unampa 10000.
Wambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 558 Reaction score 335 Feb 12, 2012 Thread starter #133 huo ujinga tunao wengi sana aisee
Wambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 558 Reaction score 335 Feb 12, 2012 Thread starter #134 ha ha ha ha ha ha ... huu ni ujinga square aisee
roja24 JF-Expert Member Joined Feb 7, 2012 Posts 634 Reaction score 410 Feb 12, 2012 #135 Wambuzi said: Ha ha ha ha Click to expand... Searching...0% Loading...0% Connection...0%
snochet JF-Expert Member Joined Mar 31, 2011 Posts 1,466 Reaction score 1,235 Feb 12, 2012 #136 Ujinga ni kumvalisha ng'ombe miwani ya kijani ili ale kila kitu
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Feb 12, 2012 #137 ha ha haah! Hii thread bana..
Kayoka JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 2,366 Reaction score 2,151 Feb 12, 2012 #138 Ujinga ni kupunguza sauti ya redio wakati unataka kusoma messege kwenye simu yako.!
P pera Senior Member Joined Jul 19, 2011 Posts 148 Reaction score 16 Feb 12, 2012 #139 ni ujinga kudanganya nyumbani unaenda kanisani huku ukielekea gest-house
Wambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 558 Reaction score 335 Feb 12, 2012 Thread starter #140 noma sana aisee...