Fatuma kimimino
Member
- Jan 3, 2012
- 11
- 4
Ujinga ni kufikiri eti kabila lenye wa2 bahili ni wachaga 2
ujinga ni-tabia ya m2 m1 inakufanya uamini kuwa ni tabia ya kabila lao,mfano,unamuona binti anagawa p..sy sana na kwa vile ni mpare,basi wewe ulivyo mjinga unajua kuwa mabinti wa kipare wote ndivyo walivyo, MPOMPOPO mkubwa we.
ujinga ni ku-generalize wa2 ilhali kila mmoja alizaliwa kwa wakat wake.Ujinga ni kudhan kila anaevaa skuna ni mwl wa primary,wengine ni models.