Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Sasa kwani lazima wajenge kwa mabilioni ya pesa vitu visivyo na maana?Hata kama ni vya kijinga lakin stendi kufikia hatua hii kama ya bukoba huu ni upumbavu wa viongoziView attachment 1797849
Hapo ukimwaga precoat au kokoto za kawaida na drainage na taa inatosha kuwezesha huduma kufanyika