johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,868
- 141,804
- Thread starter
- #101
Geita wameniangusha sana!Hawapiti stand hawa. Huyu alikuwa mkuu wa wilaya ya Same kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Geita. Stand ya wilaya ya Same ina lami. Stand ya makao makuu ya mkoa kuwa ya vumbi ni aibu. Sijafika mikoa yote Tanzania, lakini stand nyingi makao makuu ya mikoa ni lami.
Sent using Jamii Forums mobile app