Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Alafu kila anacho kigusa kinabuumaa
We hautulii, kila sehemu upo!.
We hautulii, kila sehemu upo!.
Eti mtu huyu ndiye hua anaalikwa pale wasafi kwny kipindi cha dini J2 kuja kuhubiri kuhusiana na amani na upendo huku yule lil mwasha akijisemesha ooh my God,ooh haleluya,Ooh Jesus
Unafiki bana.
Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Dada Kawe... mbona wadakia mambo juu juu. Katiba nchi inasemaje kuhusu hilo la Makonda?
kama maendeleo wameyafanya kwanini wanalazimisha watu kuyaona badala ya watu kuona wenyewe?
Hivi kipindi kile cha Corona alimkamata? Acche bange zake na hasira zake za kunyimwa na Boss wake asigombee UbungeMkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti @Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es
Tutayaona mengi kwenye utawala huu wa awamu ya tano.......
Kumbe kuna ma-RC wameigeuza mikoa wanayoiongoza kuwa their own property?
Hivi utawezaje wewe kama raia wa kawaida kabisa wa Jiji hili la Dar, kuweza kuwapiga marufuku raia wengine wasiweze kuongelea suala lolote la kitaifa mkoani kwako, kwa kile unachokiita kuwa umempiga marufuku kuongea jambo lolote katika mkoa unaoouita wa kwako?
Wewe una hoja gani zaidi ya uzuzu tu!
Eti mtu huyu ndiye hua anaalikwa pale wasafi kwny kipindi cha dini J2 kuja kuhubiri kuhusiana na amani na upendo huku yule lil mwasha akijisemesha ooh my God,ooh haleluya,Ooh Jesus
Unafiki bana.
Hii imekaa sawaMkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam
Hivi kipindi kile cha Corona alimkamata? Acche bange zake na hasira zake za kunyimwa na Boss wake asigombee Ubunge
Kisima cha pumbaNdio umetumwa na Mbowe kuja kunitishia maisha?
KICHAA kafufuka!Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam
Umesahau Mwenyekiti aliwatangazia kuwa Wawe na shukrani, akataja mfano wa Ludovick MwananzilaAaaa kumbe kapigwa pini?