RC Makonda kumpiga marufuku Zitto Kabwe kuita waandishi ili kuzungumzia suala lolote la Jiji la Dar

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,353
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam

Zitto.jpg
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam

kama maendeleo wameyafanya kwanini wanalazimisha watu kuyaona badala ya watu kuona wenyewe?
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam

Tutayaona mengi kwenye utawala huu wa awamu ya tano.......

Kumbe kuna ma-RC wameigeuza mikoa wanayoiongoza kuwa their own property?

Hivi utawezaje wewe kama raia wa kawaida kabisa wa Jiji hili la Dar, kuweza kuwapiga marufuku raia wengine wasiweze kuongelea suala lolote la kitaifa mkoani kwako, kwa kile unachokiita kuwa umempiga marufuku kuongea jambo lolote katika mkoa unaoouita wa kwako?
 
Kwani mtu ukikosa vyeti vya shule unapata madhara gani kiakili?
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam

 
Huyo hajawahi kutamka neno likawa na matokeo chanya
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempa masharti Zitto kufuatana naye kwenye ziara za kukagua miradi iliyojengwa na Serikali ya awamu ya tano mkoani humo vinginevyo atampiga marufuku kuita vyombo vya habari kuzungumzia jambo lolote linalohusu mkoa wa Dar es salaam

 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom