Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,867
- 15,826
Kabisa[emoji119][emoji119]Naunga mkono kabisa. Kuna wakati unaona bora kuepusha shari tuu maisha yasonge kwani nini bana? Kinyume na hapo itakua ni ugomvi kila siku usio na kichwa wala miguu.
Kabisa[emoji119][emoji119]Naunga mkono kabisa. Kuna wakati unaona bora kuepusha shari tuu maisha yasonge kwani nini bana? Kinyume na hapo itakua ni ugomvi kila siku usio na kichwa wala miguu.
Daah.. hizi ndoa hizi. Mtu usipokua mvumilivu kwakweli unaweza tundika daruga.
Kuna mtu aliwahi kusema "marriage is the end of sex". Mi na wife hapa siku izi tunafanya mara moja ikizidi sana mara mbili kwa mwezi. Visingizio ndio kama hivyo ulivyotaja, ila hapo kwenye kublidi ni wiki mbili nzima..!! na siku hizi kaja na mbinu mpya akitoka job tu, anaoga anakula anakimbia kulala haraka haraka ili nikija nikute ameshalala!
Yaani anaweza kulala hata saa mbili. Na mimi kuanza kuamsha mtu usingizini hua siwezi. Najua hana mchepuko, ila sijui kwanini amekua mvivu kiasi icho kwenye ku do.
maneno machache yenye maaana kuuuuuubwaNdoa bwanaaaa, shida tuu
Uwanaume upo wapi sasa hapo?
Mtu anakumbia usiniguse ni wanini sasa huyo au hana kwao?
Au una kibamia?Daah.. hizi ndoa hizi. Mtu usipokua mvumilivu kwakweli unaweza tundika daruga.
Kuna mtu aliwahi kusema "marriage is the end of sex". Mi na wife hapa siku izi tunafanya mara moja ikizidi sana mara mbili kwa mwezi. Visingizio ndio kama hivyo ulivyotaja, ila hapo kwenye kublidi ni wiki mbili nzima..!! na siku hizi kaja na mbinu mpya akitoka job tu, anaoga anakula anakimbia kulala haraka haraka ili nikija nikute ameshalala!
Yaani anaweza kulala hata saa mbili. Na mimi kuanza kuamsha mtu usingizini hua siwezi. Najua hana mchepuko, ila sijui kwanini amekua mvivu kiasi icho kwenye ku do.
Chepuka mchepuko wa buza kwa mpalange.HutojutiaNilidhan napitia haya peke angu kumbe tupo wengi, wife anafanya kazi sehemu moja n kazi yake sio ya mihangaiko kabisa ila neno nimechoka, usiniguse nataka kulala limekua wimbo ndani, kisirani mda mwingi makasirikio, Yaani dah kazini pa moto nyumban pa moto yaaan inafikia mda sijui maamuzi gani nichukue.
Nakupongeza kwa ukweli mchungu,maana miche- inaondoa stress za ndoa.Ukiona ndoa inadumu bila kugombana hata Mara moja mwaka mzima unapita ujue Mmoja anamchepuko wake safi KBS..kwahyo yakivurugika ndani ya ndoa anaenda huko. Akirud anapuuzia maisha yanasonga.Ndo maana ME weengi wanakuwa na michepuko ili kuepusha mgogoro
Au ndio "simama kama MTU aliyekosa tumaini,nkurenge"Utakuwa humfanyi vizuri so una mu bore na kumkera pia anaweza kuwa na hormonal imbalances, pia wanawake wakishazaa hamu ya ku do inaisha anahamishia upendo kwa watoto, na wewe jichunguze Kuna vitu huwa una mkera kakukinai
KijikibamiaAu una kibamia?
Dah! Mi sijapewa miezi miwili sasa,sijui nakwama wapi....miaka ya mwanzo nilikuwa napewaa siku zote 320+ kwa mwaka,( ondoa zile siku maalumu za kila mwezi,tena baada ya kumaliza alikuwa anapenda ilale " umo umo",yaan mnalala ikiwa ndani,
Sasa hivi hata miezi mitatu inafika sijapewa,namimi sijali wala nini,atajua mwenyewe.pia majukumu yamekuwa mengi ,nguvu nyingi tunaelekeza huko,
Muda mwingine maisha ya ndoa huwa matamu kama unayaacha yaende kama yalivyo.
Kwa upande mwingine hana tatizo,maisha yanakwenda vizuri tu.
[emoji1][emoji1][emoji119][emoji119],namisi hii kitu kwakweli,ila ndio hivyo ni vyema kubadilika kwenda na wakati uliopoNimependa hapo pa kulala humo humo aka kuloweka [emoji23]
ni kilio cha wote tu mkuu...tupo pamoja 😀Daah.. hizi ndoa hizi. Mtu usipokua mvumilivu kwakweli unaweza tundika daruga.
Kuna mtu aliwahi kusema "marriage is the end of sex". Mi na wife hapa siku izi tunafanya mara moja ikizidi sana mara mbili kwa mwezi. Visingizio ndio kama hivyo ulivyotaja, ila hapo kwenye kublidi ni wiki mbili nzima..!! na siku hizi kaja na mbinu mpya akitoka job tu, anaoga anakula anakimbia kulala haraka haraka ili nikija nikute ameshalala!
Yaani anaweza kulala hata saa mbili. Na mimi kuanza kuamsha mtu usingizini hua siwezi. Najua hana mchepuko, ila sijui kwanini amekua mvivu kiasi icho kwenye ku do.
uamuzi ni kuchepuka tu mkuu....at ur own riskNilidhan napitia haya peke angu kumbe tupo wengi, wife anafanya kazi sehemu moja n kazi yake sio ya mihangaiko kabisa ila neno nimechoka, usiniguse nataka kulala limekua wimbo ndani, kisirani mda mwingi makasirikio, Yaani dah kazini pa moto nyumban pa moto yaaan inafikia mda sijui maamuzi gani nichukue.
Mrudishe kwao. Ndoa ni tendo la ndoa kama hakupi hakuna ndoa hapo. Siku hizi anaweza kuwa anachepuka hata ndani ya ofisi au kwenye gari la hawara yake.Daah.. hizi ndoa hizi. Mtu usipokua mvumilivu kwakweli unaweza tundika daruga.
Kuna mtu aliwahi kusema "marriage is the end of sex". Mi na wife hapa siku izi tunafanya mara moja ikizidi sana mara mbili kwa mwezi. Visingizio ndio kama hivyo ulivyotaja, ila hapo kwenye kublidi ni wiki mbili nzima..!! na siku hizi kaja na mbinu mpya akitoka job tu, anaoga anakula anakimbia kulala haraka haraka ili nikija nikute ameshalala!
Yaani anaweza kulala hata saa mbili. Na mimi kuanza kuamsha mtu usingizini hua siwezi. Najua hana mchepuko, ila sijui kwanini amekua mvivu kiasi icho kwenye ku do.
[emoji1787][emoji1787]Mrudishe kwao. Ndoa ni tendo la ndoa kama hakupi hakuna ndoa hapo. Siku hizi anaweza kuwa anachepuka hata ndani ya ofisi au kwenye gari la hawara yake.
Hajaja hapo kula na kujaza choo, shtuka arudi kwao.
Wanawake:-
Jumatatu - kichwa kinauma
Jumanne - nilikuwa bize nimechoka Sana
Jumatano - Nina blidi
Alhamis - Nina blidi
Ijumaa - Nina blidi
Jumamosi - Nina blidi
Jumapili - naumwa kiuno siwezi hata kugeuka
Jumatatu - kicwa kinaniuma
Jumanne - nimesuka nywele nimevutwa Sana, mwili wote unauma, nimepaka diclopa haijasaidia
Jumatano - Nina stress ya vicoba
Alhamis - Nina stress ya rejesho saccos
Ijumaa - Mama yako kanipigia simu kanigombeza
Jumamosi - Naenda kitchen party ntarudi nimechoka.
Wanaume:-
Jumatatu - Bar na washikaji Hadi alfajiri
Jumanne - Bar na washikaji Hadi alfajiri sikusikilizi huna sera
Jumatano - UEFA Champions League Hadi saa tisa
Alhamis - Europa
Ijumaa - Live band Hadi asubuhi
Jumamosi - Asubuhi supu na washikaji.... Mchana nyama choma na washikaji... Jioni bia na washikaji Hadi majogoo
Jumapili - Bia na washikaji Hadi usiku wa manane
Jumatatu - Kwa demu mpya Hadi saa tisa usiku
Jumanne - SMS ya mchepuko imekutwa kwenye simu yako, umechuniwa na kununiwa miezi miwili. Mkeo anagongwa nje anapata mimba, mwezi wa tatu mnaelewana, mwezi wa nne unagundua mkeo ana mimba kubwa sio yako, mnagombana, unamtimua na ndoa imekufa.
Ushawahi kuwa kwenye ndoa?Wanajivuruga wenyewe binamu.
Ndoa kama partnership haihitaji nguvu wala ubabe
Akistuka ankuta usha-log inYaani hiyo ya kuuma kiuno mie huwa namwambia usijari wy wife wangu, ngoja nikufanyie massage, akija kushituka IMO staili pendwa ya mbwa!
Nipo ndani mkuu, kuna shida?Ushawahi kuwa kwenye ndoa?