Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,438
- 166,899
- Thread starter
- #161
Kila shetani na mbuyu wakeKweli binadamu tuko tofauti sana....
Inawezekana unachokiona shida wewe kwake ndio raha😂😂
Polee
Kila shetani na mbuyu wakeKweli binadamu tuko tofauti sana....
Inawezekana unachokiona shida wewe kwake ndio raha😂😂
Polee
Kabisa cousin ake😂😂Kila shetani na mbuyu wake
Alikua hatari kabisa! Ni kama nina kamkosi nao tu maana mdogo wake mwingine nae kuna siku alijiongeza kuwa anajua kinachoendelea so it was like blackmailing me.Aisee
Alidhamiria kupindua serikali huyo...
Hakujua Kuna vitu haviwezekaniki
Ilikua faraja fake maana ilinitesa sana baadaeHa ha haaa mzee si faraja hii au?
Alibadilika wapi ndugu yangu!! Ni yale yale tuUsiniambie ulikubali tuhuma.
Lazima uliruka kimanga
Baada ya hapo wife alibadilika?
Yah, kwa miaka 4-5 hiviHee.. kwahiyo ina maana ulitafuna yule mdogo mtu? Aisee we nae bana🤣🤣🤣🤣
Mwanamke akikwambia anataka.... Hakika jitahidi Sana kumpatia anachokihitaji. Huwa tunakuwa katika hali mbaya Sana.... Kiwango cha akili kushindwa kufanya kazi vizuri 😂🤣Nimesha poa.
Kinachochekesha ni siku ukute mwanamke anataka, halafu wewe mwanaume ndio siku hiyo umechoka. Weeeee siku hiyo utasumbuliwa nakuambia hautalala usiku utasukwasukwa kama nini sijui, utaamshwa hata kama umelala. Ukikaza ndio kununiwa na malalamiko yasiyoisha oooh siku hizi hunijali, lazima una mchepuko, kuna mahali umetoka.... yaani wanawake nyie jamani!! 🤣🤣🤣
Acha kupotosha bhana.... Kuna ambao hatuchepuki 100%. Usituaminishe upotoshaji utakavyo wewe.amini ni wako pekee yako uwe na amani........ila nakwambia mkeo anachepuka......but sorry....
[emoji275][emoji275][emoji275][emoji275]Wanawake:-
Jumatatu - kichwa kinauma
Jumanne - nilikuwa bize nimechoka Sana
Jumatano - Nina blidi
Alhamis - Nina blidi
Ijumaa - Nina blidi
Jumamosi - Nina blidi
Jumapili - naumwa kiuno siwezi hata kugeuka
Jumatatu - kicwa kinaniuma
Jumanne - nimesuka nywele nimevutwa Sana, mwili wote unauma, nimepaka diclopa haijasaidia
Jumatano - Nina stress ya vicoba
Alhamis - Nina stress ya rejesho saccos
Ijumaa - Mama yako kanipigia simu kanigombeza
Jumamosi - Naenda kitchen party ntarudi nimechoka.
Wanaume:-
Jumatatu - Bar na washikaji Hadi alfajiri
Jumanne - Bar na washikaji Hadi alfajiri sikusikilizi huna sera
Jumatano - UEFA Champions League Hadi saa tisa
Alhamis - Europa
Ijumaa - Live band Hadi asubuhi
Jumamosi - Asubuhi supu na washikaji.... Mchana nyama choma na washikaji... Jioni bia na washikaji Hadi majogoo
Jumapili - Bia na washikaji Hadi usiku wa manane
Jumatatu - Kwa demu mpya Hadi saa tisa usiku
Jumanne - SMS ya mchepuko imekutwa kwenye simu yako, umechuniwa na kununiwa miezi miwili. Mkeo anagongwa nje anapata mimba, mwezi wa tatu mnaelewana, mwezi wa nne unagundua mkeo ana mimba kubwa sio yako, mnagombana, unamtimua na ndoa imekufa.
ndio maana nikaanza na......amini mkeo ni wako pekee......hilo ndio kuu......kwa viashiria alivyotoa mleta mada.....ni wa kwakwe....bisha utakavyobisha.....anachepuka....narudia tena ...am sorry...Acha kupotosha bhana.... Kuna ambao hatuchepuki 100%. Usituaminishe upotoshaji utakavyo wewe.
Hakika[emoji275][emoji275][emoji275]View attachment 1627248