cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,696
Utakuwa humfanyi vizuri so una mu bore na kumkera pia anaweza kuwa na hormonal imbalances, pia wanawake wakishazaa hamu ya ku do inaisha anahamishia upendo kwa watoto, na wewe jichunguze Kuna vitu huwa una mkera kakukinaiDaah.. hizi ndoa hizi. Mtu usipokua mvumilivu kwakweli unaweza tundika daruga.
Kuna mtu aliwahi kusema "marriage is the end of sex". Mi na wife hapa siku izi tunafanya mara moja ikizidi sana mara mbili kwa mwezi. Visingizio ndio kama hivyo ulivyotaja, ila hapo kwenye kublidi ni wiki mbili nzima..!! na siku hizi kaja na mbinu mpya akitoka job tu, anaoga anakula anakimbia kulala haraka haraka ili nikija nikute ameshalala!
Yaani anaweza kulala hata saa mbili. Na mimi kuanza kuamsha mtu usingizini hua siwezi. Najua hana mchepuko, ila sijui kwanini amekua mvivu kiasi icho kwenye ku do.