Ratiba rasmi ya kifo cha ndoa yako

Ratiba rasmi ya kifo cha ndoa yako

Daah.. hizi ndoa hizi. Mtu usipokua mvumilivu kwakweli unaweza tundika daruga.

Kuna mtu aliwahi kusema "marriage is the end of sex". Mi na wife hapa siku izi tunafanya mara moja ikizidi sana mara mbili kwa mwezi. Visingizio ndio kama hivyo ulivyotaja, ila hapo kwenye kublidi ni wiki mbili nzima..!! na siku hizi kaja na mbinu mpya akitoka job tu, anaoga anakula anakimbia kulala haraka haraka ili nikija nikute ameshalala!

Yaani anaweza kulala hata saa mbili. Na mimi kuanza kuamsha mtu usingizini hua siwezi. Najua hana mchepuko, ila sijui kwanini amekua mvivu kiasi icho kwenye ku do.
Haya wanapitia wengi mimi tulikua tunagombana sana yaani ulichoeleza hapo juu ni kama mimi tu.
Ugomvi ulizidi, mdogo wake wa kike alikua anashtukia hio hali, kuna siku tumezingua chumbani nikawa natoka zangu saa 5 usiku hio nikale tu tungi, kashemeji kakanikimbilia na kuniambia tabia ya kutoka usiku kila nikirumbana na dada yake sio nzuri, niwe naenda tu room kwake kulala.
 
Haya wanapitia wengi mimi tulikua tunagombana sana yaani ulichoeleza hapo juu ni kama mimi tu.
Ugomvi ulizidi, mdogo wake wa kike alikua anashtukia hio hali, kuna siku tumezingua chumbani nikawa natoka zangu saa 5 usiku hio nikale tu tungi, kashemeji kakanikimbilia na kuniambia tabia ya kutoka usiku kila nikirumbana na dada yake sio nzuri, niwe naenda tu room kwake kulala.
Hatari sana hii.
Bora ukae nae umwambie kiutu uzima black n white. Kuhamia kwa shemeji itakuja kukupa wakati mgumu sana kwenye jamii na familia yako.
Halafu ikifika huko utaonekana wewe tuu ndio mkosaji
 
Hatari sana hii.
Bora ukae nae umwambie kiutu uzima black n white. Kuhamia kwa shemeji itakuja kukupa wakati mgumu sana kwenye jamii na familia yako.
Halafu ikifika huko utaonekana wewe tuu ndio mkosaji
Ilikua ni miaka 5 iliopita.
Nilikosea, i admit nilikosea sana kuanza uhusiano na yule binti
 
Kama sio mambo zako hizo utabaki unajuta maisha yako yote hata kama ni tukio unaloamini unalijua mwenyewe.
Najutia sana, maana lilifahamika
Dogo alikua anajisahau sana.
 
Na mbaya ilijulikana wewe ndio umemrubuni
Hii ndio maana tunasemaga mume hanyimwagi. Madhara ni makubwa hayo

Na mbaya ilijulikana wewe ndio umemrubuni
Hii ndio maana tunasemaga mume hanyimwagi. Madhara ni makubwa hayo
Ila na wewe uliharibu sana
Ndio hivo japo aliyechomoa betri ni yeye shemeji wakati najitahidi kukaa nae mbali.
 
Hivi nyie wakuu mnaosema wake zenu wanavijisababu7bu vya kuepuka kutoa unyumba wanawezaje kuwaambia hivyo..?..ukiachilia mbali 7bu kuu ya kutumika kiafya..??. Nina miaka 13 ya ndoa aisee sijawahi kukutana na kitu Kama huyo.. kwanza hajawahi kulala na kifuniko tangu nimuoe,muda wowote nikitaka napewa sijawahi kupewa hizo 7'bu aisee.. kumbe hizo ndoa Zina utofauti Sana ....
Nimestaajabu Sana....[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Haya wanapitia wengi mimi tulikua tunagombana sana yaani ulichoeleza hapo juu ni kama mimi tu.
Ugomvi ulizidi, mdogo wake wa kike alikua anashtukia hio hali, kuna siku tumezingua chumbani nikawa natoka zangu saa 5 usiku hio nikale tu tungi, kashemeji kakanikimbilia na kuniambia tabia ya kutoka usiku kila nikirumbana na dada yake sio nzuri, niwe naenda tu room kwake kulala.
Ha ha haaa mzee si faraja hii au?
 
Haya wanapitia wengi mimi tulikua tunagombana sana yaani ulichoeleza hapo juu ni kama mimi tu.
Ugomvi ulizidi, mdogo wake wa kike alikua anashtukia hio hali, kuna siku tumezingua chumbani nikawa natoka zangu saa 5 usiku hio nikale tu tungi, kashemeji kakanikimbilia na kuniambia tabia ya kutoka usiku kila nikirumbana na dada yake sio nzuri, niwe naenda tu room kwake kulala.
Shemeji yako bonge la mtu, hebu fanya tu Kama umekosea, nitumie namba yake
 
Back
Top Bottom