Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,009
- 103,394
Michango gani haikuwepo na michango gani ipo sasa hivi? Mimi mwanangu kaanza form one hapa Jijini Mwanza, sijatoa hata shilingi zaidi ya vifaa vya usafi.
Hakuna kiongozi wa ccm ambaye mtoto wake anasoma shule za kata. Tafadhali kaa kimya acha wanaokutana na dhahama waongee, sio kuleta upotoshaji ili kuficha ukweli.
Halafu mleta uzi unaposema hao mawaziri wasitegeane wajitokeze watoe ufafanuzi kwa wananchi, kwani wao wamechaguliwa na wananchi au wako hapo walipo kwa maagizo ya rais? Hawawezi kuwapa ufafanuzi watu ambao hawajawachagua kwa kura.