Rais, wananchi wanataka kujua Michango mashuleni imerudishwa? Tunaomba tamko la Serikali

Watoto wa madarasa ya awali na darasa la kwanza hawapokelewi mashuleni mpaka wazazi watoe michango....
Hilo la chakula wamepanga kupiga dir kwan kila mtu ale shule mbili dawat Kila mwez hela zinainginzwa kweny akaunt za shule huk iringa walimu wameamua kutafuta namna ya kula wanaagiz limu wakidai Kila week test tujiuliz hap sas je hiz Lim hawauz
 
Hilo

Hilo la chakula wamepanga kupiga dir kwan kila mtu ale shule mbili dawat Kila mwez hela zinainginzwa kweny akaunt za shule huk iringa walimu wameamua kutafuta namna ya kula wanaagiz limu wakidai Kila week test tujiuliz hap sas je hiz Lim hawauz
Wivu wa kk
 
Sikuizi viongozi hawafanyi tena kazi ya kutatua shida za wananchi ila wamekua wakitaka kukusanya mapato tu ili kumlizisha mkulu sijui ni maagizo au ufinyu wa akili zao
 
Tafuteni hela, mlibeza ilipotangazwa elimu bure, Leo michango kidogo tu tena ya kupeleka jembe na mifagio mnalia tena! Chadema bwana.
 
Taja hizo Wilaya na hizo shule ili wahusika watumbuliwe kama mzee baba alivyoagiza. Vinginevyo hayo ni majungu na masinia na masufuria. Watoto wasipochangia chakula watakula nini? Dezo ni mbaya dogo mwisho utaolewa! Hata kulisha watoto huwezi? Usisahau chakula unachochangia ni kile ambacho angekula akiwa nyumbani. Ni venue tu ndio imebadilika.
 
... kuntu!!!

Huu ni wito uliotukuka, please GT's kama wadau sambamba na sisi waathirika wote wa kadhia hii wake kwa waume mliomo humu ndani kwa ujumla wenu tuongeze sauti ya wito huu ili tupate ufafanuzi wa sintofahamu hii ya kidhalimu.
 
Bwashee acha blaah blaah weka ushahidi wa michango iliyorudishwa otherwise serikali haiwezi kufanyia kazi taarifa potoshi.
 
Morogoro shule ya sekondari kihonda magorofani wanafunzi wameambiwa waje na dawati na kiti cha kukalia ..... Usanii tupu. Chato oyeee
 
Hoja uliyoleta nzuri kwa ajiri ya maendeleo ya vija wetu mwisho umeharibu. Eti Yanga oyeee!!!sasa hao mawaziri ndo wanachama wa yanga!
 
Back
Top Bottom