Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Afwazali

~hebu ulizieni na 'posho serikali yake itakuwa inatoa.?'
~na wanaoruhusiwa kukimbilia huko ni viongozi kama akina Lema au hata na raia wa kawaida.!?

*halafu baadae hatawatimua kama alivyomtimua yule Miguna wa Miguna.!?
Maoni ya jirani yako una haki ya kuzingatia au kuyapuuza. Chaguo ni lako.
 
Yaani Kenyatta aliposikia matokeo ya Tanzania nadhani alikuwa anacheka mpaka anachanganyikiwa, haamini kuwa bado kuna nchi zinaweza kuendesha chaguzi zao ili kukidhi utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Amejiridhisha pasi na shaka kuwa bado watanzania wengi ni maiti, ila hao wachache waliokimbia mortuary atawapokea.
 
Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.

Halafu ndio unasema cdm ipeleke wabunge wa viti maalum bungeni! Unaamini watu wakiingia mtaani ndio watapata haki yao, lakini jana umeanzisha uzi kuwa wabunge wa viti maalum waende bungeni ili wapate pa kusemea! Kwani ni lazima uishi kwa kuvuta bangi?
 
Siasa za Kenya huwezi fananisha na Tanzania. Kila mtu anasiasa zake peke yake.
 
Halafu ndio unasema cdm ipeleke wabunge wa viti maalum bungeni! Unaamini watu wakiingia mtaani ndio watapata haki yao, lakini jana umeanzisha uzi kuwa wabunge wa viti maalum waende bungeni ili wapate pa kusemea! Kwani ni lazima uishi kwa kuvuta bangi?
'Kwani ni lazima uishi kwa kuvuta bangi?' Hahahah imeisha hio mzee baba
 
Yaliyokea kwenye uchaguzi uliopita 2020, ni matokeo ya kawaida tuu kisiasa. Kila tukio kisiasa ni somo katika elimu pana katika siasa. Na makubwa yanakuja.

Kuna ukawaida gani, au unalazimisha ionekane ni kawaida? Tumekuwa tukisema tatizo la siasa za nchi yetu ni Magu, na watu wanakaa kimya kulinda uhai wao. Leo hii mpaka Kenya wanatuchora, tena wanatuchora ndani ya vyombo vyao rasmi vya kimamlaka.
 
Kweli Kabisa kule UGANDA ya M 7 hakuna UTULIVU WA KISIASA kabisaaaa....
Yaani hata ww yale maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura unayaonea aibu. Inabidi uhamishe channel tu, kwani ni aibu hata kutetea utoto wa wazi vile.
 
Yaani Kenyatta aliposikia matokeo ya Tanzania nadhani alikuwa anacheka mpaka anachanganyikiwa, haamini kuwa bado kuna nchi zinaweza kuendesha chaguzi zao ili kukidhi utashi wa kiongozi aliyeko madarakani. Amejiridhisha pasi na shaka kuwa bado watanzania wengi ni maiti, ila hao wachache waliokimbia mortuary atawapokea.
Tumenyooshwa, jee tunajifundisha nini na matokeo haya?

Jamaa wametumia kanuni ya kushambulia kisiasa : " piga adui yako kisiasa kwenye chaguzi mpaka achakae kabisa na asiweze kurudusha mashambulizi kabisa, na ikitokea amejikusanya na kuweza kujibu mashambulizi, basi yawe hafifu mno kiasi ambacho huwezi kuumia. Lakini mpinzani wako umuachie makovu ambayo kuyarekebisha lazima yamuuwe".
 
Halafu ndio unasema cdm ipeleke wabunge wa viti maalum bungeni! Unaamini watu wakiingia mtaani ndio watapata haki yao, lakini jana umeanzisha uzi kuwa wabunge wa viti maalum waende bungeni ili wapate pa kusemea! Kwani ni lazima uishi kwa kuvuta bangi?
Tatizo kuingia mtaani kwa sasa tumeshashindwa bado tunavumilia.Hivyo for the time being wabunge waende tu bungeni. Hii ya kuingia mtaani itakuja yenyewe pale Magufuli atakuwa katika mwaka wake wa 14 akitawala. Hata wana CCM wenyewe wengi watakuwa wamemchoka. Hapo ndo saa ya ukombozi wa kweli itatimia.
 
Good oversight on regional issues for now. Ila if one asks me to give an assurance on whether Kenya's 2022 will be conducted with peace n tranquillity, I simply can't offer that assurance and i believe many Kenyans hold that same view.

And of course the election will be conducted on democratic principles. I am simply confused n trying to remind him of Wahenga's say, "usitukane mkunga angali uzazi upo". Ruto is listening n watching n a country that depends on tribal alliances to determine the next government is in danger as a country that has just stolen election!
 
Back
Top Bottom