Rais Ruto adaia Serikali ya Uhuru Kenyatta ilikuwa na Bajeti ya kuhonga Mahakama

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
1704807944525.png
Rais William Ruto ameutuhumu Utawala wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuwa ulitenga Bajeti maalum kwaajili ya kuwahonga na kuwarubuni Majaji na Mahakimu ili wawe wanatoa maamuzi ya kuipendelea Serikali.

Amesema Serikali yake haiwezi kuyumbishwa na Kesi zinazofunguliwa katika Mahakama nchini humo kupinga utekelezwaji wa baadhi ya Sera na Sheria na kuongeza kuwa anaheshimu Uhuru wa Mahakama ingawa Uhuru huo huapaswi kuvuruga maslahi ya umma.

Serikali ya Ruto imekuwa ikikumbana na Vikwazo vya Mahakama ikiwemo uzuiaji wa baadhi ya Sheria ikiwemo Sheria ya Fedha ambayo imelalamikiwa na Wananchi kwamba inaongeza Gharama Kubwa za Maisha bila kuzingatia uhalisia wa vipato vyao.

=========

President William Ruto on Tuesday alleged that the regime of his predecessor Uhuru Kenyatta had set aside a budget to bribe courts and sway the decisions of the Judiciary.

Speaking on Tuesday while laying the foundation stone for the Kapsuswa Affordable Housing Project in Uasin Gishu County, President Ruto told off critics of his pilot project underscoring that he would not be cowed in his push to end corruption in the Judiciary.

The Head of State went on to assert that some people were urging him to set up a ‘bribing’ budget for the Judiciary just like former President Uhuru Kenyatta’s government was doing.

He thus vowed not to be intimidated by court cases adding that his administration would not set the alleged budget to influence judgment but would rather fight the corruption head-on.

“Some people are saying that because the previous government had a budget to bribe courts, I should go and come up with a budget to bribe the courts,” Ruto said.

“Do you want your money to be used to bribe the courts? No budget will be made to bribe anyone in the courts. The courts are servants of Kenyans.”

The seemingly irate President Ruto reiterated his past utterances that a section of people were collaborating with judges to sabotage Kenya Kwanza projects such as the Housing Programme.

He reassured residents that he would do away with graft in the corridors of justice, adding that no one would be allowed to derail the agenda meant for Kenyans.

“We respect the independence of the Judiciary and other institutions, but that independence does not extend to sabotage the public interests,” he said.

“Any institution that undermines the delivery of Constitutional rights; social and economic to the people of Kenya is undermining the constitution and we are going to make sure all of us respect the sovereignty of the people of Kenya.”

He added: “We must deal. Firmly, decisively with corruption in the Judiciary and we are going to root out corruption in the judiciary…it is still subject to the people of Kenya.”

According to the president, the projects by his regime are aimed at benefiting the ordinary Kenyans and the orders by the courts are unconstitution since they serve to disadvantage the will of the people.

He therefore said he would not relent in his push to create jobs and fulfill his campaign manifesto.

“The biggest problem in Kenya is unemployment. Please, I want to tell you kuweni na utu. You have jobs, and your children have jobs. The children of the hustler and mama mbogas have no jobs,” Ruto said.

“I am their lawyer and I cannot bribe the courts; instead of giving brines to courts, I will end corruption in courts.”

CITIZEN DIGITAL
 
Yeye alikuwa sehemu ya Serikali ya Uhuru Kenyatta.
Makosa ya serikali ya Uhuru yanamuhusu.
Alikuwa na uwezo kushauri na kupinga mipango yote ya serikali ambayo yeye alikuwa mtu wa pili kwa madaraka.
 
Kwanini anaongea leo kwanini walati boss wake anafanya hivyo asitoke adharani na kupinga hayo, na baadae ajiuzulu kwa kutokupendezwa na yanayofanyika kwenye taasisi yao ya urais akiwa na yeye ni mtu wa pili kimaamuzi???
 
Let Uhuru govt rests
You're incharge now ,show us your skills.
Don't blame one who already left the office .
Wasn’t Ruto a significant player as Vice president in the Uhuru government?
How can he exonerate himself from the actions of the past government?
 
Rais William Ruto ameutuhumu Utawala wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuwa ulitenga Bajeti maalum kwaajili ya kuwahonga na kuwarubuni Majaji na Mahakimu ili wawe wanatoa maamuzi ya kuipendelea Serikali.

Amesema Serikali yake haiwezi kuyumbishwa na Kesi zinazofunguliwa katika Mahakama nchini humo kupinga utekelezwaji wa baadhi ya Sera na Sheria na kuongeza kuwa anaheshimu Uhuru wa Mahakama ingawa Uhuru huo huapaswi kuvuruga maslahi ya umma.

Serikali ya Ruto imekuwa ikikumbana na Vikwazo vya Mahakama ikiwemo uzuiaji wa baadhi ya Sheria ikiwemo Sheria ya Fedha ambayo imelalamikiwa na Wananchi kwamba inaongeza Gharama Kubwa za Maisha bila kuzingatia uhalisia wa vipato vyao.

=========

President William Ruto on Tuesday alleged that the regime of his predecessor Uhuru Kenyatta had set aside a budget to bribe courts and sway the decisions of the Judiciary.

Speaking on Tuesday while laying the foundation stone for the Kapsuswa Affordable Housing Project in Uasin Gishu County, President Ruto told off critics of his pilot project underscoring that he would not be cowed in his push to end corruption in the Judiciary.

The Head of State went on to assert that some people were urging him to set up a ‘bribing’ budget for the Judiciary just like former President Uhuru Kenyatta’s government was doing.

He thus vowed not to be intimidated by court cases adding that his administration would not set the alleged budget to influence judgment but would rather fight the corruption head-on.

“Some people are saying that because the previous government had a budget to bribe courts, I should go and come up with a budget to bribe the courts,” Ruto said.

“Do you want your money to be used to bribe the courts? No budget will be made to bribe anyone in the courts. The courts are servants of Kenyans.”

The seemingly irate President Ruto reiterated his past utterances that a section of people were collaborating with judges to sabotage Kenya Kwanza projects such as the Housing Programme.

He reassured residents that he would do away with graft in the corridors of justice, adding that no one would be allowed to derail the agenda meant for Kenyans.

“We respect the independence of the Judiciary and other institutions, but that independence does not extend to sabotage the public interests,” he said.

“Any institution that undermines the delivery of Constitutional rights; social and economic to the people of Kenya is undermining the constitution and we are going to make sure all of us respect the sovereignty of the people of Kenya.”

He added: “We must deal. Firmly, decisively with corruption in the Judiciary and we are going to root out corruption in the judiciary…it is still subject to the people of Kenya.”

According to the president, the projects by his regime are aimed at benefiting the ordinary Kenyans and the orders by the courts are unconstitution since they serve to disadvantage the will of the people.

He therefore said he would not relent in his push to create jobs and fulfill his campaign manifesto.

“The biggest problem in Kenya is unemployment. Please, I want to tell you kuweni na utu. You have jobs, and your children have jobs. The children of the hustler and mama mbogas have no jobs,” Ruto said.

“I am their lawyer and I cannot bribe the courts; instead of giving brines to courts, I will end corruption in courts.”

CITIZEN DIGITAL
Ruto hajitambui, yeye alikua makamu kwenye Serikali ya Uhuru alifanya nini la maana ?
Mahakama hiyo anayoipinga leo ndio iliyohalalisha Urais wake. Kumbe alihonga mpaka mahakama ikamhalalisha kupitia kesi ya Raila !
Siku zote kwenye maisha hususani ya ofisi mtu anapaswa kutengeneza network ili afanye kazi vizuri. Akijitia kiburi anaweza kuharibu.
 
Huyu nchi isha mshinda sasa lawama zote anapewa uhuru wakati hata yeye alikuwemo kwenye uongozi wa uhuru kwanini alibaki kimya
 
Back
Top Bottom