Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Huyu Uhuru Mungiki haki akapekwa ICC leo ndio mungu wa lissu na Chadema?
Jamaa alikuwa anapenda ugomvi na ujeuri mpaka kwa majirani. Imagine mpaka mtu wa nje ya nchi anaona kijamaa ligomvi tu sembuse tulioishi nae mzee wa kuzurura na mabulungutu ya pesa?
Sijawahi kuona Rais anazurura na mahela kwenye begi, ule ushamba aisee ni zaidi ya kuwa papaa wa kwenye bendi za kikongo.