Rais Samia yuko kazini kuiokoa Sekta ya Utalii baada ya UVIKO 19

Anna Nkya

Member
Oct 21, 2021
69
341
Utalii ni kati ya sekta muhimu kwenye uchumi wa nchi yetu. Sisi hapa Arusha ukiathiri utalii ni kama kuchafua vyombo vyetui vya vyakula, hii sekta ndio inatulisha kwa kiasi kikubwa.
lakini pia sehemu kubwa ya fedha za kigeni tunazipata kwenye sekta hiyo.

Hata hivyo kati ya sekata zilizoathiriwa zaidi na CORONA ni utalii, hapa Tanzania tunaweza kushuhudia hilo.

Rais Samia yuko katika jitihada za makusudi kuokoa Sekta hii:

1. Namna alivyokabiliana na Corona kwa kutumia mbinu za Kisayansi hususan kwa kuruhusu Chanjo, imeongeza kuaminika kwa nchi yetu. Watalii walipungua sana nchini kwa nam,na tulivyokuwa tunapuuzia hili jambo, tulijifanya sisi ni kisiwa, watu wanaoamini kwenye Sayansi wakatukataa. Lakini sasa tumechanjwa na kufuata kanuni nyingine kwenye utalii, tunarudi kwenye ubora.

2. Leo Rais alikuwa anafungua Gran melia hotel hapa Arusha, namna anavyoongea kuitangaza nchi yake, tunaona kwamba ameamua kuwa mstari wa mbele kuitangaza nchi yetu. Huu ni muendelezo wa nia aliyoonesha kupitia Royal Tour, anajitoa sana Mama yetu.

Tuzidi kumuombea, tumuunge mkono. Utalii unapofunguka, ajira nyingi zinaokolewa.
 
Wanasema namba hazidanganyi, mifumo ya kisasa na kisayansi ipo, KILA PAMBIO kwa mama lingekuwa linasindikizwa na ushahidi wa kinamba ili kusaidia kuuaminisha umma juu ya nia yake ya dhati.

Walikuwa wangapi kabla ya corona, weka vitu! Vorona ikaanza lini, namba ikawaje, mama akaingia, namba ikawaje! Mpaka sasa wamechanjwa wangapi?

Mtaani wanasema eti kijana wake na kijana wa kule nangwanda sijaona wako busy kufisadi migodi, ni maswahiba, yaani kama mtoto wa msoga alivyofanya, CHARITY .....home
 
Wanasema namba hazidanganyi, mifumo ya kisasa na kisayansi ipo, KILA PAMBIO kwa mama lingekuwa linasindikizwa na ushahidi wa kinamba ili kusaidia kuuaminisha umma juu ya nia yake ya dhati.

Walikuwa wangapi kabla ya corona, weka vitu! Vorona ikaanza lini, namba ikawaje, mama akaingia, namba ikawaje! Mpaka sasa wamechanjwa wangapi?

Mtaani wanasema eti kijana wake na kijana wa kule nangwanda sijaona wako busy kufisadi migodi, ni maswahiba, yaani kama mtoto wa msoga alivyofanya, CHARITY .....home
Tumechanja watu chini ya 800k kwenye nchi ya watu 60 elfu elfu.
 
Toka mama Samia ameingia madarakani, Tanzania imetangaza rasmi kuwepo kwa Ugaidi, mgao wa maji na umeme. Sijui hicho nacho kinavutia watalii?
 
Pamoja na kupewa fedha kibao za Covid-19.

Mnona wizara ya afya haitoi takwimu za vipimo au mgonjwa.

Wanazipiga tuu sio.
 
Utalii ni kati ya sekta muhimu kwenye uchumi wa nchi yetu. Sisi hapa Arusha ukiathiri utalii ni kama kuchafua vyombo vyetui vya vyakula, hii sekta ndio inatulisha kwa kiasi kikubwa.
lakini pia sehemu kubwa ya fedha za kigeni tunazipata kwenye sekta hiyo.

Hata hivyo kati ya sekata zilizoathiriwa zaidi na CORONA ni utalii, hapa Tanzania tunaweza kushuhudia hilo.

Rais Samia yuko katika jitihada za makusudi kuokoa Sekta hii:

1. Namna alivyokabiliana na Corona kwa kutumia mbinu za Kisayansi hususan kwa kuruhusu Chanjo, imeongeza kuaminika kwa nchi yetu. Watalii walipungua sana nchini kwa nam,na tulivyokuwa tunapuuzia hili jambo, tulijifanya sisi ni kisiwa, watu wanaoamini kwenye Sayansi wakatukataa. Lakini sasa tumechanjwa na kufuata kanuni nyingine kwenye utalii, tunarudi kwenye ubora.

2. Leo Rais alikuwa anafungua Gran melia hotel hapa Arusha, namna anavyoongea kuitangaza nchi yake, tunaona kwamba ameamua kuwa mstari wa mbele kuitangaza nchi yetu. Huu ni muendelezo wa nia aliyoonesha kupitia Royal Tour, anajitoa sana Mama yetu.

Tuzidi kumuombea, tumuunge mkono. Utalii unapofunguka, ajira nyingi zinaokolewa.
Nimemuangalia Mhe. Rais na nimeangalia wale wawekezaji wa Gran Melia, unaona kabisa sekta ya utalii itafunguka kwa kasi. Tunautekeleza vema Mpango wa blueprint. Tanzania ina mazingira mazuri ya uwekezaji.

Pili, chanjo ya Corona imewafanya wageni kuona Tanzania iko salama dhidi ya Corona. Kama mleta mada alivyoomba# Tuendelee kumuunga mkono Rais na tumuombee. Kuna neema kubwa za ajira na mzunguuko wa fedha zinakuja.
 
Back
Top Bottom