Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,602
- 9,354
Hakuwa bench mzee, alikuwa bado anahudumu private office ya JK na analipwa na serikali kama kawaida pia bado ni mtumishi wa Foreign Affairs.Muache Togolani wa watu. Alikaa benchi miaka 6.
Kimsingi alimuepuka bwana yule kwake naona ilikuwa afadhali maana watuwa JK aliwatoa kwenye reli kabisa.