Rais Samia Suluhu awaapisha Mabalozi Ikulu. Asema Tozo za Miamala zitaendelea ila zitarekebishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan awaapisha Mabalozi 13, Ikulu Dar es Salaam

==========

Anaeongea kwa sasa ni waziri wa mambo ya nje, balozi Mulamula ambae anamshukuru kwa Imani kubwa ambayo amewekeza kwao na wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki...
Kelelee nyiiingiii....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbowe aliwahi kusema watanzania wapewe chanjo. Sijui alikuwa na lengo gani!

Mimi namsifu Kenyatta. Enzi za JPM viongozi wa nchi mbalimbali wakisumbuliwa sana na wananchi wao mbona Tanzania hawababaishwi na corona? Ikawa ni tishio kwa mstakabali wa hawa viongozi juu ya maamuzi waliyo ya fanya kuhusu corona.

Saa hizi kibao kimetugeukia tunaparurana mnyewe kwa mnyewe wao wametulia na wananchi wao wakitucheki kulikoni tuliokuwa tunawapigia mfano. Kwenye katiba mpya iwepo sheria ya kutathimini uwezo wa Kiongozi kwa urefu na mapana yake.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan awaapisha Mabalozi 13, Ikulu Dar es Salaam

==========

Anaeongea kwa sasa ni waziri wa mambo ya nje, balozi Mulamula ambae anamshukuru kwa Imani kubwa ambayo amewekeza kwao na wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki. Amesema ameishi katika wizara hiyo kwa miaka mingi na hakumbuki kama ishawahi kutokea hivyo...
Inasikitisha huyu mama karudisha ikulu dar kimizengwe. Kwani shughuli ya kuapisha mabalozi haiweze fanyanyika dodoma mji mkuu wa nchi hadi iletwe dar. Hebu wakuu semeni kitu kuhusu hii movie maana wengine inatukera sana. Au ndivyo kina mama wanaendesha mambo.?
 
Tutaitumia kwenye jambo hili baada ya kusikia vilio vyenu, tunataka fedha hizi zikajenge barabara za vijijini" @SuluhuSamia Ikulu leo
 
Tutaitumia kwenye jambo hili baada ya kusikia vilio vyenu, tunataka fedha hizi zikajenge barabara za vijijini" @SuluhuSamia Ikulu leo
JamiiForums-1551552128.jpg
JamiiForums-1778541516.jpg
 
Mkuu tusilipe hizo tutafute namna mbali ya kuzikwepa ili wakusanye kidogo sana labda chini 10% ya target.
Hizi tozo za miamala ya simu tujiandae kuzizoea tu, kwa hii kauli ya Rais wanaweza ondoa 1%
 
Yote haya chanzo ni mwendazake baada ya kuuwa uchumi,kaua sekta binafsi,kakimbiza Wawekezaji,kaanzisha miradi ya sifa,leo atukopesheki wamebakia kukamua wananchi
 
Yote haya chanzo ni mwendazake baada ya kuuwa uchumi,kaua sekta binafsi,kakimbiza Wawekezaji,kaanzisha miradi ya sifa,leo atukopesheki wamebakia kukamua wananchi
Kwahuyu mama hata angeongoza marekani kodi za kipuuzi zingewekwa tu. Alishindwa nini kuongeza kodi kwenye mabenk ambako watumiaji wake niwatu wa uchumi mzuri anaweka kwa miamara ya mitandao ya sim ambayo watumiaji wake ni wakulima na wafugaji
 
Back
Top Bottom