Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,880
- 12,320
Hilo jina la makamanda kwa sasa haliwastahili, angalau tuwaite sungusungu.Makamanda wanamponda Mama 🤣🤣🤣
Hilo jina la makamanda kwa sasa haliwastahili, angalau tuwaite sungusungu.Makamanda wanamponda Mama 🤣🤣🤣
Aliwahi kuisema Lissu hii kitu.Ikulu ya Chammwino kwaheri mambo Dar.
Hahaha Kazi kweli kweli Da Tanzania imekuwa Raha sanaMakamanda wanamponda Mama 🤣🤣🤣
Changamaka ila usiwe mamluki, utagunduliwa tu kwani huko kwenye CHAMA TAWALA na Serikalini kuna "vipimo" vingi na "upekuzi" mwingi kiasi cha kuweza kubaini "pumba na mchele". Songa mbele na kila la heri!Ngoja na mimi nichukue kadi ya chama. Uenda nikaulamba baadae.
Dictator.Mama yupo kwa ajili ya Tanzania, na Tanzania ipo kwa ajili ya mama. Tukiacha kutumia akili tulizopandikizwa na magaidi, tutamuelewa sana bimkubwa. Mama ni mtu wa haki, na ameamua kuisimamia haki bila kujali nani anasema nini.
Yupi.. aliebadili katiba ya chadema ili atawale milele?Dictator.
Na Fao la kujitoa sahauni...very sad MkuuHAKUNA raisi humo.
Kabla ya tozo barabara za vijijini zilikuwa hazijengwi?
Huyu mama tumepigwa
Sisiemu ni kunufaisha matumbo yao.Tozo zitaendelea ?, kwani nani alisema zisiendelee, zitarekebishwa lini na vipi ? Hapo ndio kuna tatizo, kila siku zinavyozidi kwenda na huu muendelezo ni hasara kwa biashara za watu (no body is gaining)
Mamako aliekuzalia chooni.Yupi.. aliebadili katiba ya chadema ili atawale milele?
Mbowe aliwahi kusema watanzania wapewe chanjo. Sijui alikuwa na lengo gani!Akili za kupandikiziwa kuhusu hii chanjo tukiziacha hizo tutafika mbali. Tukizingangania mambo yatakuwa magumu sana. Tumeona rasharasha yake ni matone ya mawe/ barafu, vipi mvua kamili?
Kwani mtu ukiteuliwa huruhusiwi kuwa active twitter?Toka apewe ubalozi amekuwa active sana twitter, nadhani ndio kituo chake cha kazi.
Vituo wanavyo amesema wanasubiri vibali toka nchi walizowapangia acha kupotosha vibali vikija wanaenda kwenye vituo vyaoNdio maana mmetuletea msamiati unaoitwa tozo kwenye miamala, kwa Nini uapishe mabalozi wasio na vituo vya kwenda kufanya kazi?
Kwetu Kagera sijawahi kuona kijijini kuna lamiHAKUNA raisi humo.
Kabla ya tozo barabara za vijijini zilikuwa hazijengwi?
Huyu mama tumepigwa
Kwakua hajazungumzia suala la mwenyekiti wenuAisee ukimsikiliza huyu rais utangundua Tanzania hatuna rais bado yaani matukio yote haya yaliyo tokea hapa katika umeshindwa kuyatolea ufafanuzi.