Rais Samia: Polisi angalieni upya taratibu zenu za upelelezi, kuwaweka watu mahabusu muda mrefu ni gharama kwa Serikali

Kuna kundi la chuki la Raisi wetu anachofanya chochote sicho hawa watu washazoeya kunywa maji kikuku ,leo wamekuwa na midomo sana juu yako hebu watie moto kidogoo katika ndimi zao hata Nabii Mussa alikuwa nae yule Samiriyu.Ukiwa mpole sana watakutia vidole vya macho yule buldozer aliwavuruga hawa hawa vidomo domo wakaaa kimya sana.
2030 linaingia bulldozer lingine, na lichama lao lishajifia!! Walisema wataandamana, wametulizwa wanabaki kulia lia
 
Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.

Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.

Chanzo: TBC

=======

Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie

Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"

Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Mabandiko kama haya kiukweli yanasaidia sana. Kwanza someni nilishauri nini,

Soma ushauri wangu kwenye bandiko hilo, auangalie rais Mama Samia ameagiza mini.
P
 
Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.

Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.

Chanzo: TBC

=======

Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie

Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"

Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Kwa jinsi watendaji wa serekali wasivyomchukulia Samia seriously, hakuna kitu itafanyika hapo!
 
Angeanza kuwaonya kuhusu kesi ya Mbowe. Kati ya vitu vinavyo mvunjia heshima Mama Samia ni hii kesi ya kubambika ya Mbowe. Mama amepoteza mvuto kwa watu kwa kushindwa kukemea hili jambo. Pia hii kesi ina lichafua Taifa.
 
Mabandiko kama haya kiukweli yanasaidia sana. Kwanza someni nilishauri nini,

Soma ushauri wangu kwenye bandiko hilo, auangalie rais Mama Samia ameagiza mini.
P
Mkuu, zamani ningekuwa mtu wa kwanza kufungua bandiko lako but tangu ulivyojiunga na watesi wa nchi hii - hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.

Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.

Chanzo: TBC

=======

Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie

Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"

Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Hii nayo ni siasa ya kutafutia ujiko?

Nchi imefikia hatua hii, bado tulikuwa tunawaza jinsi ya kulisemea hili ili tufaidike nalo?
 
Back
Top Bottom