vitu kama ivi ndo tunatumia kujudge uwezo wa akiliYaani yeye kaona la muhimu ni pesa tu. Haki za binadamu wanaokaa maabusu miaka na miaka haoni kabisa!!
watu wanaleta hoja za maana wewe unaleta UCHADEMA -GAIDI- HOVYOJeshi la Polisi limejaa wahuni wengi waliokuwa Green Guard, ambao hawana mafunzo, sifa wala weledi kwa kazi nyeti ya upolisi.
Akili yake ndogo, na hicho ndicho kipimo kilichokubaliwa kwa walioamua kusoma. Vinginevyo kuwe na sababu za ziada kama ugonjwa n.k. Ndio maana hata waajiri uangalia ufaulu kwa vyeti then mengine yanafuata.Hujajibu swali, mtu kupata div 4 maana yake hana akili?
Masikini MaCCM , akili zenu hazina akili.Reasoning yako ipo chini sana, kwa hiyo mtu kupata division 4 ina maana hana akili?
denooJ Janja weed Ukiona loyal supporters wanasema hv,jua hali ya mwenyekiti wa ccm ni teteSio kutakuwa na fisadi au mafisadi anayajengea mazingira ya kutolewa
Tusikilizie
Ndani ya polisi unafundishwa kutii amri siyo kutumia akili kuchambua mambo .Ukiambiwa shoot unafyatua siyo unahoji why?Na wao kwanini wawatake watu wenye division 4 pekee wakati wa division 1 na 2 na 3 wapo wengi?
Simu yako haijawa hacked mkuu? 😁Sio kutakuwa na fisadi au mafisadi anayajengea mazingira ya kutolewa
Tusikilizie
Kuna kundi la chuki la Raisi wetu anachofanya chochote sicho hawa watu washazoeya kunywa maji kikuku ,leo wamekuwa na midomo sana juu yako hebu watie moto kidogoo katika ndimi zao hata Nabii Mussa alikuwa nae yule Samiriyu.Ukiwa mpole sana watakutia vidole vya macho yule buldozer aliwavuruga hawa hawa vidomo domo wakaaa kimya sana.Ni vyema kabla ya kuhukumu ungesikiliza hotuba yote, huyu John yeye kachomoa kakipande kadogo sana katika hili, Rais kaongea kirefu zaidi, nimemsikiliza mwanzo mwisho, ingia you tube ya tbc kuna hiyo hotuba yote, then utacomment ukiwa full informed
Tokea mama katupia tozo,naona kambi ya vijana wa ccm imevurugika kabisa 🤣 🤣 🤣 ,wanazungumzia kwenye short wave sasa hv.Simu yako haijawa hacked mkuu? 😁
Ni full usanii. Anaetoa maagizo kwa Polisi ni CCM. M/ Kiti wa CCM Taifa ni Nani??Kumbe nae anazijua kesi za kubambikiza, natumai Sirro amemsikia bosi wake, aache kutisha wapinzani na kukamata watu bila ushahidi, iwe mwisho.
Vinginevyo anachokiongea Samia hapo ni usanii mtupu, wengi kukamatwa kwa kesi za kubambika huwa ni kwa manufaa yao CCM analijua hilo.
JPM na ukauzu wake wote hajawahi kuwakemea polisi or Jeshi, hao polisi walipoenda kumlalamikia kuhusu Ninja alimtoa faster na kumuonya Simbachawene aangalie jinsi ya kudili na polisi, aige mfano wa mwinyi akiwa waziri wa ulinzi!! At least Samia anawapa makavu hadharani! Hakuna Rais ataridhisha kila mtu na kila kundi, Below avarage to you is above avarage to othersSisi tuna comment kilichowekwa hapa na sio kingine.
Mambo ya kuwaambia polisi wajiangalie ni upuuzi haswa. Wanatakiwa kukemewa na kuchukuliwa hatua...kesi zipo, malalamiko yapo.
Hakuna rais humo...bellow average
Pumbavu, Magufuli mlikuwa mnasema hasafiri sababu hajui English!! Hamueleweki kabisaIla Samia bwana,Ila kusafiri na kundi kubwa la watu si gharama kwa serikali.
Poor youNdio hana akili hata kidogo. Unatusumbua hapa na maswali ya kijinga. Nasoma comment za maana na wewe unakomaa kutetea division IV yako hapa. Bangladesh
Inategemea na ajira, siyo ajira zote zinaangalia hayo ma AAkili yake ndogo, na hicho ndicho kipimo kilichokubaliwa kwa walioamua kusoma. Vinginevyo kuwe na sababu za ziada kama ugonjwa n.k. Ndio maana hata waajiri uangalia ufaulu kwa vyeti then mengine yanafuata.
Achana na hawa machizi, Wana chuki za kidini kwa SamiaNi vyema kabla ya kuhukumu ungesikiliza hotuba yote, huyu John yeye kachomoa kakipande kadogo sana katika hili, Rais kaongea kirefu zaidi, nimemsikiliza mwanzo mwisho, ingia you tube ya tbc kuna hiyo hotuba yote, then utacomment ukiwa full informed
MaCDM yana akili?? Kuna majinga nchi hii kama maCDM?Masikini MaCCM , akili zenu hazina akili.
Ikichangiwa na Mkiti wao kuwekwa mahali salamaAchana na hawa machizi, Wana chuki za kidini kwa Samia
Ni kweli,lakini tujiulize kwanini hawaendi polisi?kwani ndio kazi ngumu zaidi au ndio kazi yenye mshahara mdogo zaidi? hapana,lazima kuna vitu hawavipendi kuhusu upolisi,hivyo ndio vinalaamikiwa kila siku humu na mitaaniObvious mtu mwenye Div 1 kwanza hawazi kuwa polisi.....na ukweli ni kwamba mtu anaenda kuwa polisi baada ya kwamba amefeli hivyo hana option.