Rais Samia: Mikoa ya Kusini watu wanatokwa damu puani na kudondoka. Hatujui ni ugonjwa gani, uchunguzi unaendelea

WATU waache kulakula vitu visivyojulikana! ... mara chamaki'nchanga, mara chamaki'uchiku(popo) ... 'ata huyo ngichi pia mchile!
Hatuachi
JamiiForums665608459.jpg
 
Sasa kama umeshatoa taarifa as president kuwa ni kutokana na wanyama au wadudu kutoka mbugani, kuna haja gani ya wataalam kupiga kambi au utafiti wkt tayari ni wanyama wameamia nyumbani mwa binadamu.

Ndiyo maana kuna jamaa ameanzisha mada kuwa (kuna watu nyumbani kwake hawaonekani...)
 

Rais Samia Hassan amesema kuna maradhi ambayo hayakuwepo siku za nyuma lakini yanajitokeza siku za karibuni kwa kuwa uharibifu wa misitu unasababisha Viumbe wa Msituni wasambae kwa Wanadamu

Amesema “Nilikuwa nazungumza na Waziri Mkuu juzi, ametoka ziara Mikoa ya Kusini (Lindi), ameniambia ameona maradhi mapya yameingia. Watu wanatokwa na damu za pua na wanadondoka chini”

Rais anaongeza "Hatujui ni kitu gani, Wanasayansi wamehamia huko kwa uchunguzi zaidi kwa kuwa ni Watu wengi wanaougua kwa mfululuzo, na yote ni kwa sababu tunaharibu makazi ya viumbe kule walikowekwa na Mungu. Tunawasogeza kwetu wanatuletea maradhi”

Rais Samia amezungumza hayo leo, Julai 12, 2022 katika Maadhimisho ya Mkutano wa 20 wa Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki ya Afrika Mashariki (AMECEA)
Kwa hiyo Rais anajua chanzo chake hadi aseme sababu ni uharibifu wa makazi ya viumbe?

Hii kauli ya Rais ni hatari kwa afya ya Nchi,ni mapema Sana kutangaza hivyo.
 
Hujui ni ugonjwa gani, unasababishwa na nini, how it infect human, umeanzia kusini kwetu au imported; lakini tayari umehitimisha chanzo chake ni kuingilia biodiversity ya wanyama pori huna supporting evidence ya virus kuruka kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.
Ni lazime iwe virusi!?
 
Rais anaongeza "Hatujui ni kitu gani, Wanasayansi wamehamia huko kwa uchunguzi zaidi kwa kuwa ni Watu wengi wanaougua kwa mfululuzo, na yote ni kwa sababu tunaharibu makazi ya viumbe kule walikowekwa na Mungu. Tunawasogeza kwetu wanatuletea maradhi”
Nashauri tupunguze uchomaji mkaa, tuboreshe huduma za umeme na gas
 
Jambo hujalifanyia utafiti inaanza kuropoka unazua tu taharuki nimeamini mwanamke hafai kushika nyadhifa kubwa kakaa kiumbea umbra tu.
Wanawake ni ngumu sana kutunza siri..pm kazunguka huko kusini mpaka kamaliza ziara karudi dsm ndio ka mwambia..yeye kesho yake kaanika hadharani...ingawa pm naye muongo muongo sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Halafu watu wa kusini tupo wala hatujui hizo habari. Tunaendelea kuishi tu hakuna hata mmoja tumeshuhudia kaanguka.
Au ndo wanataka kutubwagia kirusi kipya waitangazie dunia kuwa Kuna kirusi kingine kimeibuka Tanzania kinatokana na wanyama .....kama kirusi Cha monkey
 
Watu wanakunywa double kick bila kula vizuri ukijumlisha na jua Kali lazima damu itoke puani. Wapeni watu pesa zao za nssf wawape watu ajira
 
Kituo cha uchunguzi wa magonjwa CDC Centers for Disease Control and Prevention cha Marekani kinasema ugonjwa mpya Kusini mwa Afrika ulianzia Congo DR.


Na watu wengi toka DR Congo hufika Kilwa na Lindi kwa shughuli za kibiashara kama kununua dagaa n.k Na pia watu kutoka Tanzania nao huenda kule DR Congo kwa shughuli mbalimbali za kibiashara, kiuchumi na kijamii.
Maeneo ya dunia ambapo ugonjwa huo umeripotiwa na sasa wataalamu wanafuatilia

Crimean-Congo Hemorrhagic Fever (CCHF) Distribution Map​


1657630442095.png


Crimean-Congo Hemorrhagic Fever (CCHF)
Section NavigationSigns & Symptoms

The onset of CCHF is sudden, with initial signs and symptoms including headache, high fever, back pain, joint pain, stomach pain, and vomiting. Red eyes, a flushed face, a red throat, and petechiae (red spots) on the palate are common. Symptoms may also include jaundice, and in severe cases, changes in mood and sensory perception.

As the illness progresses, large areas of severe bruising, severe nosebleeds, and uncontrolled bleeding at injection sites can be seen, beginning on about the fourth day of illness and lasting for about two weeks.

In documented outbreaks of CCHF, fatality rates in hospitalized patients have ranged from 9% to as high as 50%

Crimean-Congo hemorrhagic fever (CCHF) virus (family Nairoviridae) was first recognized in the Crimean Peninsula (in the south of present-day Ukraine) in an outbreak among agricultural workers in the 1940s. The same virus was isolated in 1956 from a single patient in present day Democratic Republic of Congo, giving the virus its name. The virus is spread by infected ticks or livestock, and person-to-person transmission can also occur.


READ MORE : CDC Works 24/7
 
Back
Top Bottom