KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,620
- 4,232
Sidhani kama kuna muda wa vetting katika hali kama hii ambapo mabadiliko hutokea mara kwa mara. Unakumbuka wakati ule wa TPDC basi ndivyo hivyo pia kwa hili la sasa. Uteuzi asubuhi na kutenguliwa jioni.Ina maana wanaofanya vetting ya viongozi huwa hawajui haya mambo?